Wednesday, November 9, 2016

IT IS THE BEGINNING OF AN END!!!



HUU NDIO MWANZO WA MWISHO,,
HISTORIA HAIJATUFUNZA BADO ILA YALISHATABIRIWA,,NTARUDI!!

5 comments:

  1. I can't believe....gosh nimekesha kutazama ccn nilivyoona anachukua states nyingi sikuamiani
    Inamaana wengi marekani ni ma recist au ma snitch, walikuwa wanamhekea Clinton lakini hawakumtaka. Si kwa ushindi huu
    Dah,, ngoja tuone wanaoishi us bila makaratasi.... Mtazamo tu.
    AM.....

    ReplyDelete
  2. Wa Tanzania tujifunze, Sio kung'ang'ania CCM...huyu Trump kashinda hata hajawahi kuwa mwanasiasa....
    Nasisi tuje test mabadiriko. Wengine tangu tunazaliwa tunakuta CCM mpaka leo uko kwenye 30s bado CCM... 👺
    AM.....

    ReplyDelete
  3. So sad... tusome alama za nyakati jamani. Eeh M. Mungu tusaidie.

    ReplyDelete