Ngoja nikukumbushe wimbo wa zamani, "Wasiwasi wako wanini shurti niseme ukweli, mwili wangu mzuri, kila vazi linakubali uzuri wangu wa kuzaliwa, maringo kwetu kawaida, nikigeuka utakubali, nikicheka utakubali, nikicheza utazimia wasiwasi... sikumbuki waliimba nani aidha Tancut Almasi au Safari sound my song sums it all...CinTea
da nuu kumbe kijungu kipoo ehh!!!kimekaa vizr kweli hahhaa!!! figa yako simpo had raha
Amen..
Aaawwe Nuru naona msambwanda umo eeeee. Looking good girl. Winnie
looking good as always..
Amen!! Beautiful AM...
Hahahhahahahah Cintea ntaitafuta thanks,,Kijungu kipo wapendwa sema hatukapi promo hahaha Thank you all lovies๐๐๐
V shape yako tu!! Uwa inaniuwaa.
Cin tea kweli wewe kiboko huo mwimbo ni wa zamani ile mbaya sijui waliimba sikinde au vijana jazz? Kwakweli Nuru kila nguo inampendeza hongera dear...TNS
Ahsanteni Bintinyota na TNS
Ngoja nikukumbushe wimbo wa zamani, "Wasiwasi wako wanini shurti niseme ukweli, mwili wangu mzuri, kila vazi linakubali uzuri wangu wa kuzaliwa, maringo kwetu kawaida, nikigeuka utakubali, nikicheka utakubali, nikicheza utazimia wasiwasi... sikumbuki waliimba nani aidha Tancut Almasi au Safari sound my song sums it all...CinTea
ReplyDeleteda nuu kumbe kijungu kipoo ehh!!!
ReplyDeletekimekaa vizr kweli
hahhaa!!!
figa yako simpo had raha
Amen..
ReplyDeleteAaawwe Nuru naona msambwanda umo eeeee. Looking good girl. Winnie
ReplyDeletelooking good as always..
ReplyDeleteAmen!! Beautiful
ReplyDeleteAM...
Hahahhahahahah Cintea ntaitafuta thanks,,
ReplyDeleteKijungu kipo wapendwa sema hatukapi promo hahaha Thank you all lovies๐๐๐
V shape yako tu!! Uwa inaniuwaa.
ReplyDeleteCin tea kweli wewe kiboko huo mwimbo ni wa zamani ile mbaya sijui waliimba sikinde au vijana jazz? Kwakweli Nuru kila nguo inampendeza hongera dear...TNS
ReplyDeleteAhsanteni Bintinyota na TNS
ReplyDelete