Yeye ndo hana gundu, biashara imedoda weeeee mpaka kaamua kukaa uchi na bado duka likawa halionekani. Pumbavuuuuu aache watu na maisha yao, alijilazimisha kwa King Kiba kaona hakuna linalowezekana anatafuta pa kufia. Bichwa lake. Yaani nna hasiraaaa. Winnie
Huyu Diva naeKaibukia watu kumchagulia mtu mpnz.we huoni gundu lako kwa GK mfuuuuuuuu.
ReplyDelete🙉🙊. 🤔
ReplyDeleteAM....
COMFORT SHOGA AKO ALOKULETEA POCHI KAOLEWA JUZI YAANI AM SO HAPPY KILA KITU KIMEENDA SWALAMA SALMIN YUKO HONEYMOON HAHAHAHAH!
ReplyDeleteJamani hongera zake.nitampa pongez zake namba yake ninayo.
ReplyDeleteMlete Zanzibar ale honeymoon huyo lol.
ReplyDeleteJamani Gundu LA GK vipi? Naona kapotea. Huyu Dada anatafuta bwana kwa nguvu kweli, The Light huna humu tukamsaidia?
Mkipigwa simoooo
Diva!!??
ReplyDeleteDiva jamani kama panya kujipitisha mbele za watu azongweee..kwetu wanaitwa vivuruge..!mwamini
ReplyDeleteYeye ndo hana gundu, biashara imedoda weeeee mpaka kaamua kukaa uchi na bado duka likawa halionekani. Pumbavuuuuu aache watu na maisha yao, alijilazimisha kwa King Kiba kaona hakuna linalowezekana anatafuta pa kufia. Bichwa lake. Yaani nna hasiraaaa. Winnie
ReplyDeleteDiva kachanganyikiwa au na kutafuta kiki juu! ye kama nani wa kumchagulia mpenzi!
ReplyDeleteJaman huyu Diva hanakuwa kwao wakumkanya...anatakufuta kiki kwalazima...Anatia huru hata..Apelekwe kwenye maombi jaman
ReplyDelete