Sunday, November 6, 2016

BASI SAWA!!!

 THIS I HAD NO IDEA,SHKAMOOO B12!!!
 ABOUT  LAST NIGHT,,

10 comments:

  1. Huyu Diva naeKaibukia watu kumchagulia mtu mpnz.we huoni gundu lako kwa GK mfuuuuuuuu.

    ReplyDelete
  2. 🙉🙊. 🤔
    AM....

    ReplyDelete
  3. COMFORT SHOGA AKO ALOKULETEA POCHI KAOLEWA JUZI YAANI AM SO HAPPY KILA KITU KIMEENDA SWALAMA SALMIN YUKO HONEYMOON HAHAHAHAH!

    ReplyDelete
  4. Jamani hongera zake.nitampa pongez zake namba yake ninayo.

    ReplyDelete
  5. Mlete Zanzibar ale honeymoon huyo lol.

    Jamani Gundu LA GK vipi? Naona kapotea. Huyu Dada anatafuta bwana kwa nguvu kweli, The Light huna humu tukamsaidia?


    Mkipigwa simoooo

    ReplyDelete
  6. Diva jamani kama panya kujipitisha mbele za watu azongweee..kwetu wanaitwa vivuruge..!mwamini

    ReplyDelete
  7. Yeye ndo hana gundu, biashara imedoda weeeee mpaka kaamua kukaa uchi na bado duka likawa halionekani. Pumbavuuuuu aache watu na maisha yao, alijilazimisha kwa King Kiba kaona hakuna linalowezekana anatafuta pa kufia. Bichwa lake. Yaani nna hasiraaaa. Winnie

    ReplyDelete
  8. Diva kachanganyikiwa au na kutafuta kiki juu! ye kama nani wa kumchagulia mpenzi!

    ReplyDelete
  9. Jaman huyu Diva hanakuwa kwao wakumkanya...anatakufuta kiki kwalazima...Anatia huru hata..Apelekwe kwenye maombi jaman

    ReplyDelete