Monday, November 14, 2016

Basi Sawa!!!





9 comments:

  1. mmmh bongo daslam patamu. sasa Calisa alivyovuta lips za wema sasa duuuuuh hilo kiss la mwendo kasiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  2. Mambo mengine ni aibuu jamani duh!

    ReplyDelete
  3. mi naomba kuuliza kwani wema wakati anapigwa picha alikuwa amewekewea macho ya ya kuchora mpaka asione kuwa anapigwa piha na kuja kumtukana kjana wa watu, alivyomvulia nguo hakuwa na akili timamu
    aache ujinga wake sasa mana mwenzie katumia nafasi vzr
    hahahha!!!! always remember kikulacho kinguoni mwako

    i need mwarobaini tea da nuu

    ReplyDelete
  4. Wema na hivi vibraza men sijui atakoma navyo lini...ona sasa juzi juzi alibeba mimba ya checkibob idriss leo yuko na huyu drylips, kesho sijui yupi tena,kiruuu

    ReplyDelete
  5. Maybe something wrong somewhere.... Am speechless....
    Nilisema hapa juzi tuu huyu dada anapokwendea atakuwa teja... Huu ujinga si wa Dunia hii.
    Wapi Quality yako wewe mtoto wa kike?????
    AM....

    ReplyDelete
  6. jamani huyu mdada si ajaribu kuishi maisha yake private kidogo..khaa aibu tupu,ngoja mie nikachemshe chai yangu ya mchai chai

    ReplyDelete
  7. hahahahahahahahah!!!! Tabi
    Mchai chai, unanukiaje vizuri....
    AM...

    ReplyDelete
  8. She might have daddy issues... either way it don't mataaaaaaa... I still got bills to pay!!

    ReplyDelete