Saturday, October 29, 2016

WHYYYYYYYYY!!!



6 comments:

  1. Anataka kuwa kama Sanchoka lol!

    ReplyDelete
  2. hahahhahah!!!!
    bongo raha sana jmn
    hasa hawa mastaa wetu
    si juzi tu katoka kusema anasoma china mambo ya biashara au ndio hii!!!!
    hahhahahah
    yani bongo siondoki ng'o
    afu hilo ziwa sasa
    jmn m nasema hv hawa akinia jlo na beyonce tuwaache kama walivyo ukitaka kuwaiga utaumia bure ndio matokeo yake sasa
    mwili mabondebonde utazani ugali uliopikwa na mtt mdg bana,
    afu huyu dada angejijua shepu yake asingevaa hvyo yani shepu mbaya balaa

    ReplyDelete
  3. Huyu nae sijui hanagamshauri wa mavazia.huku kwenda na fasheno huku jaman tuangalie na shape zetu Khaa!

    ReplyDelete
  4. Ukisikia kufa na fashion ndio huko. Nyingine zitupite tyuù.mwamini

    ReplyDelete
  5. Hahhahahahahahah wenyewe wanakwambia jikubali ulivyo, ukitaka kuaangalia mwili ukoje fasheni zitakupita my dear sio kwa kujianika huko mie bora simtank langu nilihifadhi kwenye max dress badala ya kuliexpose micellulite kila kona yaani sijui wanadanganywa na nani hawa watu???!!! Ukiambiwa basi na wewe jiambie, kula wanapenda wanafikiri miili ya kina Nuru inakuja hivi lazima uwe na nidhamu ya kula, hebu mie niendelee na nidhamu ya kula...TNS

    ReplyDelete