Hapa nimemfurahia zaidi Raymond na Yamoto wengine nimeshawazoea, Ray kwenye Salome kanifurahisha parts zake alizoimba the first verse na pale anaposema yeye nyang'anyang'a those vocals reminded me of Salif Keita kwa mbaali...CinTea
Hongera zao tungeacha mambo ya uteam usiokuwa na viwanja vya mazoezi hizo tuzo zote zingerudi home. Mungu baba tusaidie kituamsha kwenye huu usingizi mzito wa ujinga. Haya mie nitawapigia wote. Tea no sugar
Mdada Tea no Sugar kama habari ya team unaongelea nilichoandika you are very wrong. Ukisoma vizuri nimesema nimemfurahia zaidi Raymond na Yamoto kwakuwa ni new comers. Waliobaki wote wamezoeleka kwenye tuzo. Ray kaanza kujulikana hardly a year so it's a big achievement kwake na ndicho nilichofurahia same as Yamoto. Mambo ya team yanawenyewe and I am too old for that. Kama hukumaanisha kuongea nilichoandika niwie radhi kwa kutoelewa kwangu...CinTea
Hapa nimemfurahia zaidi Raymond na Yamoto wengine nimeshawazoea, Ray kwenye Salome kanifurahisha parts zake alizoimba the first verse na pale anaposema yeye nyang'anyang'a those vocals reminded me of Salif Keita kwa mbaali...CinTea
ReplyDeleteHongera zao tungeacha mambo ya uteam usiokuwa na viwanja vya mazoezi hizo tuzo zote zingerudi home. Mungu baba tusaidie kituamsha kwenye huu usingizi mzito wa ujinga. Haya mie nitawapigia wote. Tea no sugar
ReplyDeleteMdada Tea no Sugar kama habari ya team unaongelea nilichoandika you are very wrong. Ukisoma vizuri nimesema nimemfurahia zaidi Raymond na Yamoto kwakuwa ni new comers. Waliobaki wote wamezoeleka kwenye tuzo. Ray kaanza kujulikana hardly a year so it's a big achievement kwake na ndicho nilichofurahia same as Yamoto. Mambo ya team yanawenyewe and I am too old for that. Kama hukumaanisha kuongea nilichoandika niwie radhi kwa kutoelewa kwangu...CinTea
ReplyDeleteTanzania tuko vizur nowadays,Mungu awasimamie warudishe heshima home.mapepo ya team flan sijui team nani yashindwe kabisa.sisi ushindi tu.
ReplyDeleteAll the best to all.
ReplyDeleteThe winer will be Tanzanian we proud