Thursday, October 6, 2016

NINA MASWALI MENGI WAKUNIJIBU HAMNA,LES SCORPION!!!


ALISHIRIKI KWENYE MASHINDANO YA DUME CHALLENGE NA KUSHINDA 20MILLION 2012 SASA KILIMKUMBA NINI HAPA KATI MPAKA KUFANYA UKATILI HUU,NI MUIGIZAJI, SCRIPWRITER NA A KARATE KID NA NI MTU MZIMA SIO MTOTO AISEE SINA CHA ZAIDI,,

6 comments:

  1. Now I get it so zile movie za Karate za kutoa watu macho ndio akawa anapractice kwa watu wasio na hatia atajutaje?...CinTea

    ReplyDelete
  2. NASHIKWA NA HUZUNI NA HASIRA SANA KILA NIKIONA HII HABARI. HUYU SHETANI WAMCHOME TU MOTO NDIO DAWA YAKE.

    ReplyDelete
  3. Naamin utateseka kama ulivyompa mwenzio nateeso .Mungu hatoi hukumu kama sie tufanyavyo. Ingekuwa nchi za nej angepimwa akili .huyu ni kama walee wa ktk ID

    ReplyDelete
  4. Mmmmmmh huyu kaka sura yake na roho yake vitu viwili tofauti. Mzima kweli huyu?....TNS

    ReplyDelete
  5. yaani hafanani kwakweli, mbona sahii hata ukitaka kudate na mtu ni kuogopa maana hujui kama na huyo atakuwa scropion jamani walimwengu tunaelekea wapi? Dunia shujaa walimwengu hadaa

    ReplyDelete
  6. Binadamu anaweza badilika within a minute akawa kiumbe wa ajabu zaidi ya mnyama.Lkn kuna watu wana ubabe wa hovyo mitaani tunawachekea matokeo ndiyo hayo.mwamini

    ReplyDelete