NINA MASWALI MENGI WAKUNIJIBU HAMNA,LES SCORPION!!!
ALISHIRIKI KWENYE MASHINDANO YA DUME CHALLENGE NA KUSHINDA 20MILLION 2012 SASA KILIMKUMBA NINI HAPA KATI MPAKA KUFANYA UKATILI HUU,NI MUIGIZAJI, SCRIPWRITER NA A KARATE KID NA NI MTU MZIMA SIO MTOTO AISEE SINA CHA ZAIDI,,
Naamin utateseka kama ulivyompa mwenzio nateeso .Mungu hatoi hukumu kama sie tufanyavyo. Ingekuwa nchi za nej angepimwa akili .huyu ni kama walee wa ktk ID
yaani hafanani kwakweli, mbona sahii hata ukitaka kudate na mtu ni kuogopa maana hujui kama na huyo atakuwa scropion jamani walimwengu tunaelekea wapi? Dunia shujaa walimwengu hadaa
Binadamu anaweza badilika within a minute akawa kiumbe wa ajabu zaidi ya mnyama.Lkn kuna watu wana ubabe wa hovyo mitaani tunawachekea matokeo ndiyo hayo.mwamini
Now I get it so zile movie za Karate za kutoa watu macho ndio akawa anapractice kwa watu wasio na hatia atajutaje?...CinTea
ReplyDeleteNASHIKWA NA HUZUNI NA HASIRA SANA KILA NIKIONA HII HABARI. HUYU SHETANI WAMCHOME TU MOTO NDIO DAWA YAKE.
ReplyDeleteNaamin utateseka kama ulivyompa mwenzio nateeso .Mungu hatoi hukumu kama sie tufanyavyo. Ingekuwa nchi za nej angepimwa akili .huyu ni kama walee wa ktk ID
ReplyDeleteMmmmmmh huyu kaka sura yake na roho yake vitu viwili tofauti. Mzima kweli huyu?....TNS
ReplyDeleteyaani hafanani kwakweli, mbona sahii hata ukitaka kudate na mtu ni kuogopa maana hujui kama na huyo atakuwa scropion jamani walimwengu tunaelekea wapi? Dunia shujaa walimwengu hadaa
ReplyDeleteBinadamu anaweza badilika within a minute akawa kiumbe wa ajabu zaidi ya mnyama.Lkn kuna watu wana ubabe wa hovyo mitaani tunawachekea matokeo ndiyo hayo.mwamini
ReplyDelete