Wakali wao ni noma yaani nimejikuta nimecheka kwa nguvu khaaa utafikiri wamesilibwa majivu uwiiiiii kioo kumbe na chenyewe huwa kinadanganya duuuh sio kwa msilibo huo. Haya huyu naye aliyemremba Latifa alikuwa mchepuko wa bwana harusi nini???? Ndio nini kumkandika mwenzie mieye shadow kiasi hicho jamani khaaa, Latifa mzuri ila sasa make up imekuwa make down, naomba kuuliza kwa wale waliowahi kuwa mabibi harusi hivi huruhusiwi kuongea chochote? Hata kama unaona hujapendeza hutakiwi kumrekebisha mpambaji? Naomba mnisaidie kwenye hilo wapendwa...TNS
Huyo Latifa, kwa nini kakubali make up ya hivyo. Mwenyewe mzuri ila hizo eyeshadow ndio zimemfanya kituko
ReplyDeleteWakali wao ni noma yaani nimejikuta nimecheka kwa nguvu khaaa utafikiri wamesilibwa majivu uwiiiiii kioo kumbe na chenyewe huwa kinadanganya duuuh sio kwa msilibo huo.
ReplyDeleteHaya huyu naye aliyemremba Latifa alikuwa mchepuko wa bwana harusi nini???? Ndio nini kumkandika mwenzie mieye shadow kiasi hicho jamani khaaa, Latifa mzuri ila sasa make up imekuwa make down, naomba kuuliza kwa wale waliowahi kuwa mabibi harusi hivi huruhusiwi kuongea chochote? Hata kama unaona hujapendeza hutakiwi kumrekebisha mpambaji? Naomba mnisaidie kwenye hilo wapendwa...TNS