Sunday, October 9, 2016

BASI BARABAR!!!





IBILISI KAAMKA HAHAHHAHAHAHAH SI NILIWAAMBIENI HAWA WATU NI VING!ANG!ANIZI WAKISHAJUA TU UNA FURAHA NA AMANI HAOOOO ZEY CUM KA BARUTIIIII🙆🙆🙆🙆

5 comments:

  1. Atajutraaa mwaka huu.wanapenda ukiondoka kwao wakuone unateseka ndy furaha yao.

    ReplyDelete
  2. Mtu mzima hovyo kafufukia wapi sijui ibilisi bin makata hata haya hana loooh zee zima. Sasa kama yeye anamwachia Mungu insta kajatafuta nini. Mshweeee zake aende akanywe maji ya dafu... TNS

    ReplyDelete
  3. Ila nao wakina wastara maisha yao binafsi kupost kwny mitandao ya nini? Sio kila kitu cha kuweka mitandaoni.

    ReplyDelete
  4. Hivi si wanamjazia Mungu kazi nyingi ambazo zingine hazina msingi kabisa, kila kitu namuachia Mungu mnamsumbua tu bwana haaaaa. Wewe ulisema cha nini Bond alikuwa anajiuliza utakirudsha lini. nimemalizaaaaaa. Winnie

    ReplyDelete