Mpenzi Zarinaaa ooooh tumeishi kwa muda mrefu, umeondoka bila kuniagaa kijana asipoangalia ataenda kuomba kibali kama alivyoomba kwa Muta kuimba Salome lol you know war am seing?? Lol...CinTea
Na kama hatujui tunyamaze tu!! LA Gemma is not that expensive, tena kwa East African ndo kabisaa. But all in all muhimu roho imependa na kufurahia maisha.
So Nuru according to ur standards showing stack of money ni USHAMBA ila sowing how u spent it its ok?
ReplyDeleteYes..kuonyesha hela ni ushamba wa hali ya juu.sorry nimejibu ingawa sijaulizwa mimi...lol
ReplyDeleteMpenzi Zarinaaa ooooh tumeishi kwa muda mrefu, umeondoka bila kuniagaa kijana asipoangalia ataenda kuomba kibali kama alivyoomba kwa Muta kuimba Salome lol you know war am seing?? Lol...CinTea
ReplyDeleteMatumizi yaweza kuwa kwa hisani ya watu wa marekani mdau!...mwamini
ReplyDeleteKama unazo watu watajua tu sio lazima utandaze mitandaoni.ni ushamba ndy.
ReplyDeletehuwa sikoment lakini Zarimond nimeipenda " Imepeeenyaaaa"
ReplyDeleteMmmh waacheni watumie tu!!
ReplyDeleteNa kama hatujui tunyamaze tu!!
LA Gemma is not that expensive, tena kwa East African ndo kabisaa. But all in all muhimu roho imependa na kufurahia maisha.