kwa kweli hawa ndugu zangu, wamechemsha na ninaomba kusema "iiimepenyaaaa" in Didas voice. Hivi wangekaa kimya ingekuaje. kuwa na matatizo na wifi nijambo la kawaida . kwa nini wanashindwa kuficha aibu zao. na yle mwengine ameshindwa hata kustaamili , mtu uliachana nae mambo yake yanakuhusu nini
Nae Huyu wifi wa kambo, half sister mmmmh ni bonge la michosho, sijui hata Tiffa kama anampenda kweli? Ikiwa kwa mama yake ndio hivyo
ReplyDeleteGubu la wifiz!mwamini
ReplyDeletekwa kweli hawa ndugu zangu, wamechemsha na ninaomba kusema "iiimepenyaaaa" in Didas voice. Hivi wangekaa kimya ingekuaje. kuwa na matatizo na wifi nijambo la kawaida . kwa nini wanashindwa kuficha aibu zao. na yle mwengine ameshindwa hata kustaamili , mtu uliachana nae mambo yake yanakuhusu nini
ReplyDelete