Me too amejitahidi na atafika mbali sana, jambo analolitetea ni kubwa katika historia ya Tz ila sijui kama kuna watu wanakumbuka kundika kumbukumbu katika mambo muhimu kama haya kwasasa naona watu wamekaa "kiinsta zaidi" mambo mengi na mabadiliko mengi yametokea katika historia ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 20 ila sijaona yameandikwa kwenye vitabu, kama kuna aliyeona anishtue...CinTea
Me too amejitahidi na atafika mbali sana, jambo analolitetea ni kubwa katika historia ya Tz ila sijui kama kuna watu wanakumbuka kundika kumbukumbu katika mambo muhimu kama haya kwasasa naona watu wamekaa "kiinsta zaidi" mambo mengi na mabadiliko mengi yametokea katika historia ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 20 ila sijaona yameandikwa kwenye vitabu, kama kuna aliyeona anishtue...CinTea
ReplyDelete