Ooooh my God chura please naomba green tea nishushie sio kwa viuno hivyo vya mrembo wetu aliyewahi kuwa Miss Tanzania. I love her dearly but I think kuna kitu sijui kinatakiwa kubadilika naona value yake ni kubwa kuliko anavyojiweka, just thinking out loud I might be wrong.
Halafu wakatunyima mauno ya snuraaaaa churaaaaaaa whyyyyyyyy!!! Nimekuelewa asingejitupa vile chini sema nahisi kwavile ilikuwa shughuli yake aliona apaswe afanye hivyo,,,
hivii mtu kukata kiuno value inapungua vipi wale wanaoiba waume za watu ambao nyie mnawaona ndio miss tanzania wenye class but wameolewa kwakuvuruga ndoa za watuuuuuuuuu hebu tuweni wakweli watanzania tuache kuwa bias na tuwache kila mtu aishi maisha yake. aliandaa blacktie uliona akikata kiuno so kila jambo na wakati wake. fyuuuuuu
Ooooh my God chura please naomba green tea nishushie sio kwa viuno hivyo vya mrembo wetu aliyewahi kuwa Miss Tanzania. I love her dearly but I think kuna kitu sijui kinatakiwa kubadilika naona value yake ni kubwa kuliko anavyojiweka, just thinking out loud I might be wrong.
ReplyDeleteHalafu wakatunyima mauno ya snuraaaaa churaaaaaaa whyyyyyyyy!!!
ReplyDeleteNimekuelewa asingejitupa vile chini sema nahisi kwavile ilikuwa shughuli yake aliona apaswe afanye hivyo,,,
hivii mtu kukata kiuno value inapungua vipi wale wanaoiba waume za watu ambao nyie mnawaona ndio miss tanzania wenye class but wameolewa kwakuvuruga ndoa za watuuuuuuuuu hebu tuweni wakweli watanzania tuache kuwa bias na tuwache kila mtu aishi maisha yake. aliandaa blacktie uliona akikata kiuno so kila jambo na wakati wake. fyuuuuuu
ReplyDeleteI think she has to her / she has to be herself not Mchina Wema.
ReplyDeleteHivi ndivyo alivyo class yake itabaki kuwa class. Tukumbuke huyu ni msanii, hapo yuko kazini.
Imagine kama ni movie?
Na hapa yuko kazini.
Hata kama hivyo sivyo alivyo, but ni kazi.
Wasuuuze
ReplyDeleteHahahahahha binti nyotaaaaaaa
ReplyDeleteKwani Light umesahau kama huyu aka OMO? Atusuuze tu
ReplyDelete