Sunday, August 21, 2016

LE GRAND FINALE THE END!!!




















 THESE TWO MY GOD HAHAHAAHA MACHIZI HAWA,,
 THEN CAME MO-MO HAHAHAHAH

 THEN HE CAME WITH HIS SIGNATURE JUCE MOVE,,


 I TOLD YOU ALICHEZA SIJAWAHI SHUHUDIA,,
SHE DANCED ALOT THAT DAY IN WAYS THAT I WILL NEVER FORGET,,




4 comments:

  1. I love you r family nuru....but simuoni mzee(dad). Where jmni mbona hayuko kwenye gatherings? Sorry kama nitakua nimekukwaza for asking

    ReplyDelete
  2. nuruuuuuuuuuuuuuuuuu barikiwa mama,namuona kaka leo katawala na cku yangu imeanza poa kazin hapa,,,,,Mungu aibariki familia yane....ila brother ni jipu kwakweli sio kwa uzuri huo na hzo nywele chaaa....am out

    ReplyDelete
  3. Momo naye anatutega mama ana furaha na mapozi ya picha anaweza happy family Nuru mbarikiwe

    ReplyDelete
  4. Dad ni oldschool haya mambo hapendi ya mapicha na nilikuwa nampost zamani kwa kuibia hahaah,,akajibamba nikapewa mnyoshooo!!!
    hahahaahah we chiziiiiiii wewe eti siku imeanza vzuri ofisini lol

    Momo hahahah mzee wa cocktails ahsanteni wote,,

    ReplyDelete