Kiwanja Nuru kama uko nacho tayari hiyo pesa unasimamisha banda wallah na Cement imeshuka sasa hahaha ustaa kazi kweli halafu usikute nyumba ya kupanga hapo.
Sofa ya million 11???? Why? That house better be hers!!!! Isije ikakuta kaweka sofa ya million 11 kwenye nyumba ya kupanga nitaliaaaa machoziiii mengiiiii sanaaaa jameni!! Mweeeeeeee!!! Million 11 ni nyingi sana Hata ukiibadilisha kwa dollar au pound jamaniiiiiii!! Duuu!! Na mkija Kwangu siruhusu mtu akalie sofa yanguuuuu ng'ooo mtasimama tu kwakweliiiiiiiii!!! Hehehehehe!
Mmmhhh hapana aiseee ....ni mtazamo wangu tu nothing personal
ReplyDeleteSoffa lake millioni 11,,kiwanja napata love!
ReplyDeleteKiwanja Nuru kama uko nacho tayari hiyo pesa unasimamisha banda wallah na Cement imeshuka sasa hahaha ustaa kazi kweli halafu usikute nyumba ya kupanga hapo.
ReplyDeleteI love homes and interior ila soffa la 11 mill litanisamehe biashara je huu ni mtaji tosha aaaaaaaaaa mdau aisee kweli binadam tunatofautiana
ReplyDeleteSofa ya millioni 11 lipi? Hilo mchina line? Kiruuuuuuhh mjini kuna vituko aisee. Na nyumba jee ni yake au kapangisha?
ReplyDeleteSofa ya million 11???? Why? That house better be hers!!!! Isije ikakuta kaweka sofa ya million 11 kwenye nyumba ya kupanga nitaliaaaa machoziiii mengiiiii sanaaaa jameni!! Mweeeeeeee!!! Million 11 ni nyingi sana Hata ukiibadilisha kwa dollar au pound jamaniiiiiii!! Duuu!! Na mkija Kwangu siruhusu mtu akalie sofa yanguuuuu ng'ooo mtasimama tu kwakweliiiiiiiii!!! Hehehehehe!
ReplyDelete