Thursday, May 26, 2016

A LESSON:IT IS VERY IMPORTANT AT TIMES TO KNOW WHO TO ASSOCIATE YOURSELF WITH,CHOOSE WISELY!!!



SOMO;NI MUHIM AT TIMES KUJUA UNAJICHANGANYA NA WATU WA AINA GANI KWANI WENGINE HUJA NA MIKOSI KWENYE MAISHA YAKO NA HATA KUKUVUNJIA HESHIMA YAKO NA JAMII ILIVYOKUWA INAKUSOMA PALE AWALI!!!

3 comments:

  1. Nawatu walivyo kuwa wanakuchukulia na kukuheshimu....japo kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo lakini Tazama wewe ni nani kwa jamii
    Hapa siongezi la Elimu kwa sababu kuna mahala kuna wasio Elimika........
    AM

    ReplyDelete
  2. Hahahhahahhh i cant with you AM,,,

    ReplyDelete

  3. mimacho mekunduu pombe ishamuharibu huyu baba

    ReplyDelete