nidhamu hekima na upendo wa dhati unaweza kuwafikisha hapo wale wanaopendana sio mapenzi ya siku hizi dada zetu wakisifiwa kidogo wazuri kutwa kukaa uchi kwenye mitandao nani atawaoa mtu mzima na vichupi instagramu facebook ivi kweli kuna mwanaume atajipendekeza hapo yule gigi kutwa kuonyesha limwili lake kama yupo casino nani ataoa watamrukia na kumwacha na sio yeye wanawake wote wanaojianika kama nyama buchani mila na desturi zilijenga wanawake makini sio wa ivi
When are you people gonna learn kuwa mavazi na tabia ni vitu viwili tofauti geez kila kukicha mavazi mavazi ni nn kama mtu ni mchafu,tabia na roho na imani yake ni chafu eleweni kutofautisha halaf sasa hiyo mianaume huwa inachepukaga na akina nani? Duniani omba upate mtu ana kupenda kiukweli,anakuheshim kukujali na atasimama na wewe no matter,a union sio ili mradi mna ndoa tu kwenye karatasi MIFANO HAI si mnayo ama?
nidhamu hekima na upendo wa dhati unaweza kuwafikisha hapo wale wanaopendana sio mapenzi ya siku hizi dada zetu wakisifiwa kidogo wazuri kutwa kukaa uchi kwenye mitandao nani atawaoa mtu mzima na vichupi instagramu facebook ivi kweli kuna mwanaume atajipendekeza hapo yule gigi kutwa kuonyesha limwili lake kama yupo casino nani ataoa watamrukia na kumwacha na sio yeye wanawake wote wanaojianika kama nyama buchani mila na desturi zilijenga wanawake makini sio wa ivi
ReplyDelete
ReplyDeleteWhen are you people gonna learn kuwa mavazi na tabia ni vitu viwili tofauti geez kila kukicha mavazi mavazi ni nn kama mtu ni mchafu,tabia na roho na imani yake ni chafu eleweni kutofautisha halaf sasa hiyo mianaume huwa inachepukaga na akina nani?
Duniani omba upate mtu ana kupenda kiukweli,anakuheshim kukujali na atasimama na wewe no matter,a union sio ili mradi mna ndoa tu kwenye karatasi MIFANO HAI si mnayo ama?