Thursday, April 14, 2016

OH DEAR,FAIZA NAKUGAWAAAAAAAAA!!!





10 comments:

  1. loool....ig be on fire sometimes... some real tea right here!! .... I can't even with these ppl loool

    ReplyDelete


  2. IG IS A MESS,,REAL COMEDY HAHAHAAHH!!

    ReplyDelete
  3. OMG nimebakia kucheka mwee kichambo live hakyamungu kaaa kwikwikwi. IG hatareee

    ReplyDelete
  4. mimi nimependa alivyomchamba. Nini kuanza kujikomba kwa mtoto angali bado hujaolewa. yeye bado ni hawara tu angoje aolewe aingie ndani ya nyumba ndio aanza mapicha yake. Mwenzie kakaa kitako kumlea wala hajui kamleaje yeye anakuja kudandia tu na mipicha juuuu kwendraaaaaaaaa

    ReplyDelete
  5. Huyu dada pamoja na huyo sugu, yatamshinda,yeye angejieshimu zaidi bila lujiweka kwenye mtaandao ila kwa hivi heshima yake yote kwishinei

    ReplyDelete
  6. Mshamba tu huyo anatafuta umaarufu, anaitwa Aziza Yusufu hata baba yake hamjui. Kwahiyo anataka alivyoishi yeye basi na mtoto wa Faiza awe hivyo hivyo. Zaa wa kwako umuweke mitandaoni nyoo..ndo maana ndoa imekushinda kwa kuganga njaa. Ovyoooo

    ReplyDelete
  7. Miwani kama kobe. Mi silipendi hili lidada wala huwi maarufu. Mfyuuu

    ReplyDelete
  8. NIMESOMA NAE MAFINGA HUYU DADA NAMWELEWA A-Z HAWADUMU HAWAA. SUGU NAYE KUJIDUMBUKIZA CHOONI POOH!

    ReplyDelete
  9. Kwanza yupo kishambashamba, amekaaa kishamba zaidi, wala hawezi jifananisha na Faiza, Faiza yuko msupa, wala hajampendezea huyo sugu. Hawaendani hata kwa muonekano

    ReplyDelete
    Replies
    1. Meona eenh! Kaforce mahusiano, yuko kama house girl vileee

      Delete