Thursday, April 21, 2016

NAWEZA KUSEMA ALIKUWA ANANIPENDA MIMI KULIKO HATA MKEWE,MONICA KIWIA!!!

SOMETIMES KUWASKILIZA WAPUMBAVU NAO NI EDUCATIVE MAANA INAKUONYESHA UHALISIA WA SOME PEOPLE!S MORALS NA MSIMAMO WAO WA KIPUMBAVU,,

6 comments:

  1. Mmh what a rotten world.

    ReplyDelete
  2. Dunia inaelekea ukingoni Mungu awasaidie hawa mabint waweze kujitambu.

    ReplyDelete
  3. Hujakosea the light huyu dada ni mburula pumbaf anaona sifa

    ReplyDelete
  4. Mimi ni mke na kama mume wangu angekuwa na mwanamke mmoja kwa muda wa miaka 5 kama huyu binti kiukweli ntakuwa najidanganya kuwa nina mume au ndoa
    Hawa wanaume sijui wanaona kuchepuka ndio uanaume loh inasikitisha

    ReplyDelete
  5. Was she under influence or something? Gosh!!!!!!

    ReplyDelete

  6. Mimi kanimaliza pale anasema alinipa mda niachanae na mtu wangu yaani alimpa an ultimatum ohh i was gone after that yaani mume wa mtu anakupa an ultimatum juu uachane na mtu ambae labda mngekuja kuwa na future maana there is never a future with a married man or woman bali mtu mmoja au wawili huumia sana,,

    ReplyDelete