Mimi ni mke na kama mume wangu angekuwa na mwanamke mmoja kwa muda wa miaka 5 kama huyu binti kiukweli ntakuwa najidanganya kuwa nina mume au ndoa Hawa wanaume sijui wanaona kuchepuka ndio uanaume loh inasikitisha
Mimi kanimaliza pale anasema alinipa mda niachanae na mtu wangu yaani alimpa an ultimatum ohh i was gone after that yaani mume wa mtu anakupa an ultimatum juu uachane na mtu ambae labda mngekuja kuwa na future maana there is never a future with a married man or woman bali mtu mmoja au wawili huumia sana,,
Mmh what a rotten world.
ReplyDeleteDunia inaelekea ukingoni Mungu awasaidie hawa mabint waweze kujitambu.
ReplyDeleteHujakosea the light huyu dada ni mburula pumbaf anaona sifa
ReplyDeleteMimi ni mke na kama mume wangu angekuwa na mwanamke mmoja kwa muda wa miaka 5 kama huyu binti kiukweli ntakuwa najidanganya kuwa nina mume au ndoa
ReplyDeleteHawa wanaume sijui wanaona kuchepuka ndio uanaume loh inasikitisha
Was she under influence or something? Gosh!!!!!!
ReplyDelete
ReplyDeleteMimi kanimaliza pale anasema alinipa mda niachanae na mtu wangu yaani alimpa an ultimatum ohh i was gone after that yaani mume wa mtu anakupa an ultimatum juu uachane na mtu ambae labda mngekuja kuwa na future maana there is never a future with a married man or woman bali mtu mmoja au wawili huumia sana,,