Anon Wa 1.22 ndiomaana siku hizi huwa naandika kizungu na kiswahili ili wote muelewa ila hii ilikuwa ndefu kdg kwa ufupi huyo kaka mzungu alimrushia kiatu Donald Trump kwavile tunajua ni MBAGUZI basi hawa ni watu kutoka ma taifa tofauti wansmkaribisha huyo kaka mzungu huku wakitaja vyakula vya na utamaduni wao na mpaka majina kumpa ya Kia black american,wachina,wahindi natives na wa south america inachekesha mno!
He must come to Zanzibar. We will serve him Halua. Zanzibar mix urojo. Zanzibar pizza. Biryan. Pilau. Take him to diff places and enjoy our Clove Island. Give him one of our small island and name him MAKAME!!! His wife will be .... Malizia
oh my goodness, Trump should read these tweets! too funny!!
ReplyDeleteme like this, people are so creative
ReplyDeleteWala sijaelewa ni nini hicho. Nuru tupege brief kidogo ya vitu unavyopost jamani wengine tuliogopa umande.
ReplyDeleteTalk of funny ppl! this is so good, it really has a nice flow!.
ReplyDelete
ReplyDeleteAnon Wa 1.22 ndiomaana siku hizi huwa naandika kizungu na kiswahili ili wote muelewa ila hii ilikuwa ndefu kdg kwa ufupi huyo kaka mzungu alimrushia kiatu Donald Trump kwavile tunajua ni MBAGUZI basi hawa ni watu kutoka ma taifa tofauti wansmkaribisha huyo kaka mzungu huku wakitaja vyakula vya na utamaduni wao na mpaka majina kumpa ya Kia black american,wachina,wahindi natives na wa south america inachekesha mno!
Asante nimekupata Nuru.
ReplyDeleteHe must come to Zanzibar. We will serve him Halua. Zanzibar mix urojo. Zanzibar pizza. Biryan. Pilau. Take him to diff places and enjoy our Clove Island. Give him one of our small island and name him MAKAME!!! His wife will be .... Malizia
ReplyDelete