Tuesday, October 27, 2015

ANNA TIBAIJUKA ARUDI RASMI BUNGENI!!!

Mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM, Prof Anna Tibaijuka ametagazwa rasmi kuwa mshindi katika jimbo hilo,,

1 comment:

  1. Kila mtu anahaki ya kumchagua mgombea amtakaye hakika Ila huyu mama sikutegemea angechaguliwa tena baada ya kuwakashfu Watanzania kiasi kileeee aiseeee! Duuu! Majanga!!!

    ReplyDelete