Monday, June 29, 2015

FAIZA SAID!!!!



1 comment:

  1. POLE FAIZA ILA UNAJIVUNIA KITU KINACHOKULIZA NA KILICHOKUKOSESHA MTOTO . UAMUZI NI WAKO UMLEE MWANAO AU UENDELEE KUVAA NGUO ZA AJABU ULELEWE NA MWANAMKE MWENZAKO.
    RAHA YA MTOTO SIO KULELEWA DADA KUNA WANAWAKE WANAROHO MBAYA NA USHAWAONA .WANAKUCHAMBA NA KUKUJAJI WAKATI HAWAKUJUI .
    SIZANI NGUO FUPI NI KOSA ILA ILE YA KITENGE NA ILE YA NEPI MHH WAZI FAIZA UNATAKIWA UKAONANA NA MASAIKOLOGY WAKUPE USHAURI
    KUNAMAGONJWA MENGI YA KICHWA AMBAYO HAYANA DAI ZAIDI YA MAONGEZI NA WATAALAMU .
    MIE NASHANGAA WANAOKUCHUKIA KWA KUVAA MAVAZI YA KUOGELEA UKIWA BEACH WANATAKIWA WAMWACHE MAMA YAKO NA FAMILIA YAKO HUKO DODOMA WADEAL NA WEWE
    ILA USIPOTEZE MTOTO KWA NGUO
    FAMILIA YAKO WAKO WASTAARABU WANAJISITIR FAI SIELEWI ULE UMISS NDO ULIKUINGIZA HAPO AU NINI

    ReplyDelete