Tunapenda kujicompare na big divaz kama kina queen bey lakini in actual sense hatuwezi kufika pale walipo kama hatuta acha hivi vijitabia vya kizaramo,muda mwingi tunatumia kuwaza vile nitawatambiaje kina fulani,niambie saa ngapi tutafanya issue za maana ambazo zitawafanya kina bey kutamani kuwa kama sisi,always tutakua nyuma kama haya ndio maisha tuliyoyachagua,tuamke wanawake ni aibuuu
huyu nayeee trying to hard... #gohome#nobodycares
ReplyDeletezari go home..stop trying to hard#nobodycares
ReplyDeleteYeah right,it seemz bado hajiamini,she better start acting like a grown woman now and nat stop that competing thingz it sucks
ReplyDeleteTunapenda kujicompare na big divaz kama kina queen bey lakini in actual sense hatuwezi kufika pale walipo kama hatuta acha hivi vijitabia vya kizaramo,muda mwingi tunatumia kuwaza vile nitawatambiaje kina fulani,niambie saa ngapi tutafanya issue za maana ambazo zitawafanya kina bey kutamani kuwa kama sisi,always tutakua nyuma kama haya ndio maisha tuliyoyachagua,tuamke wanawake ni aibuuu
ReplyDelete