sSASA ATLEAST NIMEELEWA KWANINI ALIANDIKA HIVYO THOUGH SIO SAHIHI KUANDIKA KITU KAMA HICHO ILA ATLEAST NIMEJUA THE BACKGROUND ILA SOMETIMES MTU SUBIRI HASIRA ZIISHE KABLA HUJATAMKA MENGI MAANA MLIKUWA WAPENZI AND YOU NEVER KNOW MNAWEZA RUDIANA,,
Yani wanawake wasanii both muziki na filamu bongo ni uwozo. Hawajui nini cha kuongea, kuandika wala kuvaa yani vichwa vyako wote sawa km tumbo moja yani utasema wamechaguana kuingia kwenye sanaa
Yani wanawake wasanii both muziki na filamu bongo ni uwozo. Hawajui nini cha kuongea, kuandika wala kuvaa yani vichwa vyako wote sawa km tumbo moja yani utasema wamechaguana kuingia kwenye sanaa
ReplyDelete