Tuesday, April 22, 2014

MSICHANA ALIYEPIGWA NA CHIDDI BENZ,,

 Aisha anasema” Chid nafahamiana naye kama mshkaji tu na nilimsalimia akiwa na mwanamke, nadhani hakufurahishwa na kitendo hicho , akachukia na kuanza kunipiga, kwanza alianza kurusha meza kwenye bar tuliyokuweko ya Ngudu Bar iliyopo ilala
Kwa sasa kesi ipo mahakamani baada ya Chid kukamatwa kupitia Rb – ILA| RB | 1569| 2014 Kituo cha polisi cha Pangani Ilala.

source:sammisago.com

1 comment:

  1. POLE DADA YANGU .POMBE SI MAJI SIJUI CHID ALIKUWA AMEKUNYWA MAANA KANA KUNA POMBE ZINGINE ZINAHARIBU KICHWA

    ReplyDelete