Friday, March 28, 2014

IJUMAA KAREEM na kumbuka kuwa UKITAKA KUTAJA AIBU YA MWENZAKO KWANZA KUMBUKA YAKO!!!



3 comments:

  1. Sio akumbuke tu aitaje yake kwanza ndio azungumze ya mwenzie akishindwa hivyo apige kimyaa

    ReplyDelete


  2. Kimya huwa hawakiwezi watakutangazaaaaaaaa ili wao waonekane betta kumbe yao unaweza zimia ukiskia hahahhahah,,,ogopa sana mwanaadam kutwa kuchwa kutaja ya wenzake yy anaficha nn chake???

    ReplyDelete