Saturday, October 26, 2013

EVE COLLECTION VS LINDA BEZUIDENHOUT APPAREL!!!!


 EVE COLLECTIONS

 LINDA BEZUIDENHOUT APPAREL!!

9 comments:

  1. NURU UMENIFURAHISHA, HAWA WADADA WAWILI NI KATI WATANZANIA WACHACHE NNAOTAMBUA KUWA NAI MA DESIGNER MAANA WENYINGINE WANAUZA MITUMBA BADO WAAJIITA MA DESIGNER

    LB NA EVE WANAFANYA KAZI NZURI SIJAPATA ONA NA KWELI ZINANESH UWZO WA HALI YA JUU

    MUNGU AZIBARIKI KAZI ZAO

    ReplyDelete


  2. so inamaana leo mie ningekuwa nauza mitumba n then nkaamua kuwa designer hautonitakia mema ama,,mimi blog yangu nasupport watu wengi na wa aina tofauti,,unajua unaweza sifia kitu bila kuponda chengine kwa maana zote hizo mbili ni kazi,,ungekuwa unajua biashara ya mitumba kama mimi ningekwambia how much money they make,,they make a lot of money na wanamiliki biashara kuliko mm na wewe pamoja,,

    watakie watu mema,wasifie watu unavyotaka ila usidharau watu wanaotafuta ridhiki yao kwakuwa wamechagua kua wauza mitumba that is all m tryin to say here,,vitu vyengine msipanick kihivyo hata ww ukitaka jiite designer mamii,,jaribu kutumia maneno ya busara next time!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nuru una akili sana..na umemjibu vizuri.
      Kama mtu anafanya kazi halali haibi au kudhulumu cha mtu acha ajiite designer au auze mtumba mwisho wa siku anaingiza hela kihalali.

      Delete
  3. Nimekupenda bure Nuru...God bless you mdogo wangu!

    ReplyDelete


  4. AMEEN N THE SAME TO YOU,,AHSANTENI WOTE WAWILI!!!

    ReplyDelete
  5. mnajua maana ya designing hapo juu au mnaropoka buying stuff which u didnt contribute even an idea to make it n sell to people that aint designing sawa hebu mkubaligi matokeo,congrats to these two women they are both doing great job,am owt

    ReplyDelete
  6. Nuru kwa uelewa wangu, huyo anony wa kwanza alikua anatupa jiwe mahali. Sidhani kama alikua anawaponda wauza mitumba wote.. Ndio maana akasema wauza mitumba wanajiita designer.. Lol! Ila wewe ni mjanja aisee, umemjibu kidiplomasia zaidi.

    ReplyDelete
  7. WEWE MDAU UNAWAPONDA WATU WENGINE KISA WAUZA MITUMBA.UNAONEKANAUNAROHO MBAYA SAANA NA CHUKI NAKUPENDA UGOMVI NA WANAWAKE WENZIO MJINGA SAANA WEWE.HII BLOG IPO KWAJILI YAWATU WOTE WAUZA MITUMBA ,WAUZA SAMAKI NAKADHALIKA.ACHENI ROHO MBAYKIMARAA WANAWAKE WAKITANZANIA.KUTWA MABIFF NA WIVU USONAMANA.KWATARIFA YAKO MIMI NIMEUZA MITUMBA SAANA KINONDONI NAHAPA NILIPO NIMEJENGA NYUMBA NZURI SAANA KIMARA,KWABIASHARA HIYOHIYO.MSHENZI SANA WEWE ANONYMOUS.NURU NAKUPENDA SAANA UNAUPENDO NAKILA MTU HUBAGUI WATU.NDIOMANA UMEBARIKIWA.

    ReplyDelete