CONGRACTULATIONS TO SHAMIM AND ABDUL,SHAMIM LOOKED ABSOLUTLY AMAZING!!
I made it , I Said #IDO today 2 #Abdul , official #mrsabdulnsembo, thanks all for coming and all who made this happen:: love you all , dressed by @evecollections ,makeup @glammadam :: more to come
SAMAHANI NURU JE HII NI NDOA YA PILI YA SHAMIMU? JUST ASKING.
ReplyDeleteHata ingekua ya kumi inahuu? Watanzania kwa wivu... Nyie mmekalia ndoa mbovu ili muonekane mko na waume kumbe moyoni mko na mateso makubwa! Lini mtabadilika??? Hongera Shamim... Mfano wa kuiga!!!
ReplyDeletejamani sikauliza tu,,,, goja nikujibu mwaya ndio ndoa yk ya pili ya kwanzailishavunjika kitambo...
ReplyDeleteAnauluza ili iweje akishajua kama ni ndoa ya pili au ya 5?? Huo ni umbea wa kisenge na hajauliza kwa nia nzuri... Watanzania hamuelimiki akili za kizamani zinawanyia AMANI!
ReplyDeleteMtabaki kuuliza maswali kila siku kuhusu maisha ya wenzenu tu, Yakwenu yamewashinda mmekazana na ya watu... Shamim hata akiolewa mara ngapi ni maisha yake na hayamuusu mtu mwingine yoyote! Wanawake wa kitanzania is about time mbadilike sasa... Acheni kukalia majungu kwakua yenu yamewashinda basi mnakazania kutaka kujua nani kafanya nini nani kaolewa mara ngapi etc. Mngekua na raha za maisha yenu maswali ya kijinga msingeuliza! Fanyeni yenu. Ya watu hamtayaweza hata mfanye vipi mnajitesa tu bure muda unaenda mnazeekea kwenye ndoa ambazo hazina amani wala upendo!!!Hongera sana sana Shamim umewafunga midomo wasukule wote!
ReplyDeleteJamani hongera sana Shamim. Yaani simjui huyu dada personally lakini anaonekana ni mtu poa sana. Katulia mwenyewe. Hongera sana sana dear.
ReplyDeleteNa huyu mshanta anayetaka kujua ndoa ni ya ngapi ili imsaidie nini?? Kama huwezi kupongeza watu, kaa kimya. Hujalazimishwa kutuma comment. All in all, kila la heri kwenye ndoa yako mamaa Zeze. Kwa raha zako..
Watabaki kuuliza miaka 100 watu wanasonga mbele na maisha mapya.Waume wapya. Nazani umenipata wewe mwanga..Tafuta na wewe wako kwanza usisubiri kuchukua makombo ya wenzako!Shamim kula maisha na kidume chako usiwasikilize wakosagi daima wataishi maisha ya uzuni... I'm just sayin
ReplyDeleteSafi sana! Walikua wakiongea mara hataolewa mara shamim msagaji, sasa yamewashuka huyo kaolewa tena na kitu cha ukweee.
ReplyDeletelakini shamim nae ni mmoja wawambea hapa mjini
ReplyDeleteJamani kwani kuuliza ni kosa kama mtu ni fan wake je, na huwa anmfuatilia acheni ushamba , mbona mnafanya kama kuolewa mara ya pili ni dhambi , aliyeuliza hakukosea jamani mngemjibu , tu kwa uzuri na sidhani kama ana nia mbaya
ReplyDeletemdau ameuliza kama ni ndoa ya pili sababu kwa kuangalia utaona shamimu siyo binti mbichi na kwa umri wake hii haiwezekani ni ndoa ya kwanza. sasa watu wengine mmekurupuka tuu kushadadia kuonyesha jinsi mlivyo na upeo mdogo wa kuelewa
ReplyDeleteWambea hamna jipya. Usitake kujua ya mwenzako... Angalia yako full stop!
ReplyDelete