R u in Tz right now? I like ur print pants, but the sandals really do not match it! they r cute though, but with a different outfit we haven't seen yet ;)
Christian or muslim, what is that to you, really? are you gna loose sleep over what Nuru is wearing in what season? or did someone appoint you to tell her what's good or wrong, oh I'm sorry, you must be God, right?
(Mwenyewe katulia tuli, Watu bize mwajibizana kha! Kila mtu ana maoni yake!) Anyway,regardless everything kapendeza..the hair, the outfit, the goggles, the nails me like it all. The slippers,mh! ni kwa sababu yupo home 'I guess'.
Dini sio jina ni imani tu ya mtu, ukienda nchi kama Rwanda na Burundi utashangaa kuwakuta waislamu wanaitwa Yosefine (Josephine) Shantele (Chantalle) Mary na kadhalika.
Aliyeuliza hana makosa na aliyejibu hana makosa pia. Mie mwenyewe nilikuwa nafikiri Nuru ni mtoto wa Mansour Magram au mtoto wa ndugu yake huyo Mansour Magram maana nimeshamuona na jamaa zake huyo mzee. Au inawezekana hawana undugu wala ujamaa kabisa zote ni guess work!
Mansour Magram was my late dad friend very long time wote wakiwa makocha wa football enzi hizo.
Nyie mnaojidai ni watu wa dini hua ndio wabaya kuliko binadamu wote hapa duniani! Mnazunguka na bibilia na kujifanya watu wa dini kumbe ni nyoka wakubwa tena ndio mnaongoza kwa ushirikina na kuwasema binadamu wengine.Alafu nyie mnajidai waislamu ndo kabisa mmeshindikana kwa ukahaba, Mchana mmevaa madira na kanzu usiku mko ndani ya vimini skirt na kaptula mnajiuza na kununua malaya. Sikuhizi hakuna dini ni unafiki mtupu!
sasa na nyie mnaomjibia Nuru kawatuma au ni Nuru mwenyewe aliyeuliza kamuuliza Nuru, alipaswa Nuru mwenyewe kujibu, na hakuna anaejifanya mtu wa dini ni wajibu wa muisalamu kufuata maamrisho ya mwezi mtukufu ambayo ni pamoja na mavazi so haijalishi wewe mtu wa dini au la. tuwe wastaarabu tuache kuitana majina ya ajabu sasa kwa nini uite watu nyoka????? kama wewe huna dini tuache sisi wenye dini sawa ehhhh.
HUNA DINI WALA NINI WEWE...!!EBU TUPISHE!ALAFU MBONA IMEKUUMA AU NDO WEWE WALE WALE WACHAWI NA MACHANGU?ISINGEKUGUSA KAMA SIO MUUSIKA.NURU ATAENDELEA KUVAA APENDACHO KAZI KWENU NYIE MNAOJIFANYA WATU WA DILI.
kama muislam na huu ni mwezi mtukufu kuambizana na kushtuana ni muhimu.iliyobaki juu yake anaeshtuliwa, so mdau haapo juu kafanya wajibu wake kumshtua Nuru na kama Nuru sio muislam basi waislam watakaosoma hapa watanufaika ..sina ubaya na Nuru nampenda huyu dada ila kuambizana muhimu .Ramadhan Mubarak
Wantanzani tusidanganyane.... Udini umeingia vibaya. Everyone what's to prove that their religion is better than the other. Mungu ni mmoja. Let's pray for love and respect.
binadam bwana wanongoza kwa kufanya dini kuwa ngumu uaweza jisitir kwa vyovyote vile lakini mungu anaangalia moyo wa mtu.acheni kukosoa wenzenu cjui ramadhani wewe kama una imani yako kali jisitir cku zote acheni kufanya watu waone dini ngumu
R u in Tz right now? I like ur print pants, but the sandals really do not match it! they r cute though, but with a different outfit we haven't seen yet ;)
ReplyDeleteNuru jaman we si muislam?mbona umevaa hivyo in this holy month
ReplyDeleteUr bac honey pheww thank god missed yahhh
ReplyDeleteWe anon wa pili aliyekuambia Nuru ni muislam nani? kama ni jina lipo kotekote hata wakristo akina Nuru wapo.
ReplyDeleteNywele mbaya sana! Majority ya Nuru ni waisilamu, na koo yake akituonyesha anaonyesha ana uarabu. So yeye ni muislamu, mamake ndo mkiristu nadhani.
ReplyDeleteChristian or muslim, what is that to you, really? are you gna loose sleep over what Nuru is wearing in what season? or did someone appoint you to tell her what's good or wrong, oh I'm sorry, you must be God, right?
ReplyDeleteNywele mbaya? she paid for it! she got it like that!
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteleave my Nuru the light alone u guys, she looks pretty in all she wears, so please don't judge her.
ReplyDelete(Mwenyewe katulia tuli, Watu bize mwajibizana kha! Kila mtu ana maoni yake!)
ReplyDeleteAnyway,regardless everything kapendeza..the hair, the outfit, the goggles, the nails me like it all. The slippers,mh! ni kwa sababu yupo home 'I guess'.
Dini sio jina ni imani tu ya mtu, ukienda nchi kama Rwanda na Burundi utashangaa kuwakuta waislamu wanaitwa Yosefine (Josephine) Shantele (Chantalle) Mary na kadhalika.
ReplyDeleteAliyeuliza hana makosa na aliyejibu hana makosa pia. Mie mwenyewe nilikuwa nafikiri Nuru ni mtoto wa Mansour Magram au mtoto wa ndugu yake huyo Mansour Magram maana nimeshamuona na jamaa zake huyo mzee. Au inawezekana hawana undugu wala ujamaa kabisa zote ni guess work!
Mansour Magram was my late dad friend very long time wote wakiwa makocha wa football enzi hizo.
Hata kama ka pay kazijza mno. yeye hukosoa watu sasa kwanini yeye asikosolewe?.ukikosolewa ndo utajua kama kakosea
ReplyDeleteinawezekana hiyo picha ni kabla ya mfungo wa ramadhani,siku hizi kinachojaliwa huyu kavaa nini,kafanya nini nk,dini tumezisahau kabisa.
ReplyDeleteNyie mnaojidai ni watu wa dini hua ndio wabaya kuliko binadamu wote hapa duniani! Mnazunguka na bibilia na kujifanya watu wa dini kumbe ni nyoka wakubwa tena ndio mnaongoza kwa ushirikina na kuwasema binadamu wengine.Alafu nyie mnajidai waislamu ndo kabisa mmeshindikana kwa ukahaba, Mchana mmevaa madira na kanzu usiku mko ndani ya vimini skirt na kaptula mnajiuza na kununua malaya. Sikuhizi hakuna dini ni unafiki mtupu!
ReplyDeletesasa na nyie mnaomjibia Nuru kawatuma au ni Nuru mwenyewe aliyeuliza kamuuliza Nuru, alipaswa Nuru mwenyewe kujibu, na hakuna anaejifanya mtu wa dini ni wajibu wa muisalamu kufuata maamrisho ya mwezi mtukufu ambayo ni pamoja na mavazi so haijalishi wewe mtu wa dini au la.
ReplyDeletetuwe wastaarabu tuache kuitana majina ya ajabu sasa kwa nini uite watu nyoka????? kama wewe huna dini tuache sisi wenye dini sawa ehhhh.
HUNA DINI WALA NINI WEWE...!!EBU TUPISHE!ALAFU MBONA IMEKUUMA AU NDO WEWE WALE WALE WACHAWI NA MACHANGU?ISINGEKUGUSA KAMA SIO MUUSIKA.NURU ATAENDELEA KUVAA APENDACHO KAZI KWENU NYIE MNAOJIFANYA WATU WA DILI.
ReplyDeletekama muislam na huu ni mwezi mtukufu kuambizana na kushtuana ni muhimu.iliyobaki juu yake anaeshtuliwa, so mdau haapo juu kafanya wajibu wake kumshtua Nuru na kama Nuru sio muislam basi waislam watakaosoma hapa watanufaika ..sina ubaya na Nuru nampenda huyu dada ila kuambizana muhimu .Ramadhan Mubarak
ReplyDeleteWantanzani tusidanganyane.... Udini umeingia vibaya. Everyone what's to prove that their religion is better than the other. Mungu ni mmoja. Let's pray for love and respect.
ReplyDeletebinadam bwana wanongoza kwa kufanya dini kuwa ngumu uaweza jisitir kwa vyovyote vile lakini mungu anaangalia moyo wa mtu.acheni kukosoa wenzenu cjui ramadhani wewe kama una imani yako kali jisitir cku zote acheni kufanya watu waone dini ngumu
ReplyDelete