Mashaalwah Wema Mola akujaalie na akuongoze ktk mema. Mimi ni mzazi kama wazazi wengine sioni ajabu wala sito toa kashfa juu ya huyu mtoto. angekua sio miss Tanzania tusngeyajua yake wala tusingeyasikia kingine bongo magazeti hujiuza kwa kuweka vichwa vya habari za watu ,yasingesubutu huku Europe .nanaamin maisha akonayo kila mtu kayapitia UMAARUFU HARUFU
nafurahikuonakunawatu wanaelewa kuhusu Wema, naona Kanumba kampokea sasa, kufa kufaana wameanza kumchokoa mama kanumba wapate ca kuandika hela iingie kinywani, kweli pesa...inatoa utu....nampenda sana Wema, wengi tu wanaishi maisha hayo mitaani sema sio maarufu, tena zaidi ya hayo...mimi mwenyewe nilihangaika na voboyfriend but atlast nina mume na nampendaje hafanani hata kidogo na x kwa lolote, asife moyo atapata mtu wa maana...
Mashallah slyvia shes natural an well shaped kind and humble an educated with good reputation!i swear i love love her! Wanna even marry her plis gimme her contacts the light
Mashaalwah Wema Mola akujaalie na akuongoze ktk mema. Mimi ni mzazi kama wazazi wengine sioni ajabu wala sito toa kashfa juu ya huyu mtoto. angekua sio miss Tanzania tusngeyajua yake wala tusingeyasikia kingine bongo magazeti hujiuza kwa kuweka vichwa vya habari za watu ,yasingesubutu huku Europe .nanaamin maisha akonayo kila mtu kayapitia UMAARUFU HARUFU
ReplyDeletenafurahikuonakunawatu wanaelewa kuhusu Wema, naona Kanumba kampokea sasa, kufa kufaana wameanza kumchokoa mama kanumba wapate ca kuandika hela iingie kinywani, kweli pesa...inatoa utu....nampenda sana Wema, wengi tu wanaishi maisha hayo mitaani sema sio maarufu, tena zaidi ya hayo...mimi mwenyewe nilihangaika na voboyfriend but atlast nina mume na nampendaje hafanani hata kidogo na x kwa lolote, asife moyo atapata mtu wa maana...
ReplyDeleteMashallah slyvia shes natural an well shaped kind and humble an educated with good reputation!i swear i love love her! Wanna even marry her plis gimme her contacts the light
ReplyDeleteKWANI ULIKOSA KABISA PICHA YA WEMA MPAKA UWEKE IYO YA GAZETI NA MANENO KIBAOOOOOO WE NAE
ReplyDeleteduh,huyo mtoto lisa ngozi laini kweli mamaake rita kachanga na damu ya kirwanda mashallah usije ukajiharibu bure mtoto mdogo. nakuzimii saaani
ReplyDeletemdauu bamboo boxini senkyu
The last one is the most cute,sexy appeal,attractive even without make ups,n skinn bleaching.an by the look she is a simple stunning...
ReplyDeletewema ni mzuri jamani akitulia atapata wa ukweli wake na akakonga moyo wake, tulia dd mungu atakupa wa kwako
ReplyDelete