Hata mimi napendaga mavazi ya hawa warembo,,,Simpel beautiful and very classy!natamani nikate nywele zangu lakini naogopa sijui kama nitapendeza kama nyie au nitakua kituko maana kuiga vitu vingine Jamani ni kubaya mifano mingi tunaiona Lol!
Niko Finland sikosagi kuingia kwenye hii blog i just love it! kwa watu wastaarabu kama sisi tunafurahi sana pia tunajifunza urembo na fashion. Asante nuru
Najifunza style za kuvaa kutoka kwenu alafu nyie warembooo..The light I love You!
ReplyDeleteUR WELCOME TUNAFURAHI KUWA INSPIRATION AND I LOVE YOU TOOO!!!
ReplyDeleteHi Nuru!blog yako nzuri
ReplyDeleteThank u love..,
ReplyDeleteHata mimi napendaga mavazi ya hawa warembo,,,Simpel beautiful and very classy!natamani nikate nywele zangu lakini naogopa sijui kama nitapendeza kama nyie au nitakua kituko maana kuiga vitu vingine Jamani ni kubaya mifano mingi tunaiona Lol!
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteMmependeza warembo jamani, much love to this blog
ReplyDeleteNiko Finland sikosagi kuingia kwenye hii blog i just love it! kwa watu wastaarabu kama sisi tunafurahi sana pia tunajifunza urembo na fashion. Asante nuru
ReplyDeleteTHANK U TWO ANON WA KWANZA N WELCOME AGAIN N AGAIN N MAMA FINLAND PIA..,
ReplyDelete