Jamani tuliuliza mwanzo hukutupa majibu hivi ili duka ni la Devota na hubby wake??au wao ni parteners maana liko sehemu tofauti tofauti,ongera kamaniduka lao,basi na wewe tujibu.umependeza dear,msalimie sana devota you girls are so beautiful.
Roho zitawatoka mkibaki kuuliza maswali kila siku mwezenu devota kashafika mbali nyie mnabaki na maswali kichwani,.. Ngoja nijitafutie mzungu wangu na Mimi mtanikoma!!
Nuru huyo mjinga asikupotezee anajua vizuri sana Kua maduka ni ya Kina devota na hubby wake iliyobaki ni kumuacha azidi kuumiza kichwa hatutaki umbea humu! Kama pesa ipo nenda kanunue nguo acha uchizi wako!!
Na mimi natamani kua mke wa mzungu nifanyeje? Nawaonea raha kina Devota Tk Mange Killy Miriam ondemba Na Diva kila siku nikiwaona naona wanaenjoy life yani hamjui navyotamani kujitoa kwenye wanaume wa kibongo wamenichosha sana.
Nimeona Style nuru maana kifo cha mende inabidi kipumzike sasa tunataka hizo style za wathungu!!
ReplyDeleteNawapenda sana nuru/devota
ReplyDeleteDevota anapendeza na nywele fupi nuru na wewe kata utapendeza naona style ya nywele fupi imerudi kwa kasi!
ReplyDeleteCute!
ReplyDeleteSis F
Nuru among those which one is your favourite
ReplyDeletehahahah anon wa mwisho mmmmmh!!!
ReplyDeletena wa kwanza kifo cha mende nimecheka mnooooooo ahsante for making ma day..,
Jamani tuliuliza mwanzo hukutupa majibu hivi ili duka ni la Devota na hubby wake??au wao ni parteners maana liko sehemu tofauti tofauti,ongera kamaniduka lao,basi na wewe tujibu.umependeza dear,msalimie sana devota you girls are so beautiful.
ReplyDeleteRoho zitawatoka mkibaki kuuliza maswali kila siku mwezenu devota kashafika mbali nyie mnabaki na maswali kichwani,.. Ngoja nijitafutie mzungu wangu na Mimi mtanikoma!!
ReplyDeleteNuru huyo mjinga asikupotezee anajua vizuri sana Kua maduka ni ya Kina devota na hubby wake iliyobaki ni kumuacha azidi kuumiza kichwa hatutaki umbea humu! Kama pesa ipo nenda kanunue nguo acha uchizi wako!!
ReplyDeletecool sex positions, gotta be in shape to try them out
ReplyDeleteNa kweli ni mjinga kwa sababu nia yake yeye ni umbea tu na majibu kayapata haswa..tena akome!!
ReplyDeleteNa mimi natamani kua mke wa mzungu nifanyeje? Nawaonea raha kina Devota Tk Mange Killy Miriam ondemba Na Diva kila siku nikiwaona naona wanaenjoy life yani hamjui navyotamani kujitoa kwenye wanaume wa kibongo wamenichosha sana.
ReplyDeleteWake za wazungu oyeeeeeeeee....
ReplyDelete