RIP didy maskini umekufa ingali mdogo..rumour is alipigwa na polisi majuzi ivi (i think wengi wenu mliiskia story hii) wakamsababishia maumivu wa uti wa mgongo (he was complaining) na jana alikwua na stress sana huenda vimeplay apart kwenye hili. Maisha mafupi jamani tuwe tayari muda wowote
Poleni sana wafiwa kwa msiba na marehemu astarehae kwa amani peponi AMINA.
ReplyDeleteOMG...may his soul R.I.P, soo sad!!!
ReplyDeleteMungu ampumzishe mahala pema peponi....Ameeeeen
ReplyDeletekwakweli its a big shock R.I.P P DIDDY AND SAD INDEED!!!
ReplyDeleteR.I.P P.diddy Mungu akupe mwanga wa milele na pole kwa familia ya marehemu na Maimatha Munguakupe moyo wa uvumilivu.
ReplyDeleteRIP didy maskini umekufa ingali mdogo..rumour is alipigwa na polisi majuzi ivi (i think wengi wenu mliiskia story hii) wakamsababishia maumivu wa uti wa mgongo (he was complaining) na jana alikwua na stress sana huenda vimeplay apart kwenye hili. Maisha mafupi jamani tuwe tayari muda wowote
ReplyDelete