Nuru huna haja ya kuonyesha watu maisha yako ishi unavyotaka sio wanavyotaka na huna sababu ya kuwa na kibabu kwa taarifa yao kuna watu wamezaliwa makusudi kukosesha wenzao raha looooooo washindwe na walegee sehemu zao muhimu
Wenye wivu kajinyongeni,kibabu kibabu wa kwenu wako wapi tuwaone?kha!wivu mpaka lini?Nuru rusha roho wafe wanga!!!Dvnice looking good na hubby wako mpaka raha
Boo wako yupo wapi bi Nuru? wa shoga yako tunamjua amebahatika zamu yako sasa weraaaaaaaaaaaaaaaaaa!
ReplyDeleteNuru naye yuko mbioni kupata kibabu cha kisweden,yaani watamkoma bloguni na anavyopenda kujifagilia????????? sipati picha
ReplyDeleteusibanie hii komenti
jameni mbona my BOO yumo humuhumu nimemweka siku nyingi tuuu..,seek and you shall find...,
ReplyDeletena anon wa pili hupati picha wakati movie ishatoka humu siku nyingiiii...,
Nuru mbona watupa homework bidada.
ReplyDeleteGive us some clues basi, angalau tujue pa kuanzia..lol.. Uko juu!
Nuru huna haja ya kuonyesha watu maisha yako ishi unavyotaka sio wanavyotaka na huna sababu ya kuwa na kibabu kwa taarifa yao kuna watu wamezaliwa makusudi kukosesha wenzao raha looooooo washindwe na walegee sehemu zao muhimu
ReplyDeleteWell Said Nuru, "they shd seeK and they will find" AND THEY DONT KNW THAT CURIOSITY KILLED A CAT, lollllll
ReplyDeleteahaaa nuru where can i see ur boo plz let us know
ReplyDeleteWewe uliyesema kua Nuru yuko mbioni kutafuta kibabu cha kiswidi inakuhusu nini?wewe wako yuko wapi?Wabongo mtakoma na majungu yenu!
ReplyDeleteili iweje?
ReplyDeleteBeautiful jamani sina usema zadi ya kuwakubali tu!
ReplyDeleteDevota na Boo wako mnawachapa sana bakora wambea,Tunasubiri harusi yenu lazima itakua balaaaaaa...I cant wait my dear,All the best
ReplyDeleteSo fresh!
ReplyDeleteAminiaaaaaaa Dvnice na husband to be mko juuu sanaaaaa...
ReplyDeleteDevota umeumbika dada!hongera sana na mungu awabariki
ReplyDeleteWenye wivu kajinyongeni,kibabu kibabu wa kwenu wako wapi tuwaone?kha!wivu mpaka lini?Nuru rusha roho wafe wanga!!!Dvnice looking good na hubby wako mpaka raha
ReplyDeleteI love u Dvnice
ReplyDeleteKiboko yao!!!Devota harusi lini?najua itakua na watu ambao wako juuu tu!Mimi nasubiri picha hapa the light
ReplyDelete