Monday, May 31, 2010

A DAY TO REMEMBER AT SARAHS AND RAQEYS HOME FOR A BBQ PARTY!LA BELLA MAFFIA CREW TULIKUWEPOOOO!

DEVOTA DEVOTION,SARAH AND THE LIGHT...,
DO ME DO ME DO MEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE....,HAHAHAAHAAHH

OYOYOYYYYYYYOOOOOOOOOOOOOOOOOOO...,MAMA FK,NURU AND BUNUZI....,






ALLY REMTULLAH IN THE HOUSEEEEEEEEEEE...,DEVOTA DIVA AND THE HOST SARAH...




8 comments:

  1. yori yori mmmmhhhh doli doli.
    mnatudodesha mlivyopendeza.

    ReplyDelete
  2. Jamani dada mwenye blogg ni kwamba picha za kucopy na kupaste zimeisha kwenye google? hizi pic umeshaweka mara kibao???? na tukacomment.. mbona unarudia rudia mambo? Si utafute editor wa blogg yako? kama umechoka???

    ReplyDelete
  3. dear i love ua blog dont listen to em haters who dont know shit,dis is a fashion blog and i love how you talk about tanzanian models doin it big outside n dat unajieshimu..luv u,jay!

    ReplyDelete
  4. blog yake mwenyewe kinakuuma nini kwani umelazimishwa kuangalia? Kafungue blog yako na we uweke picha za bibi na babu zako!

    ReplyDelete
  5. Chapa mwendo mwanga wewe kwani umelazimishwa hapa?

    ReplyDelete
  6. ingekua blog yake mwenyewe asingeiachia hewani kila mtu akaisoma,eleweni kila mtu ana uhru watoa maoni hapa wala siyo hater kama msemavyo nyie vibaraka wa nuru,mnajipendekezaaa kutetea hata pale panapotolewa ushauri wa maana,wapotoshaji nyiee!! Nuru nenda na wakati vilevile uwe unabadilika. yaani huna jipya

    ReplyDelete
  7. hehehe hiyo picha unalishwa Nuru umeniacha hoi! Lookin great ladies! xx

    ReplyDelete
  8. Wivu mtupu wewe kaa kimya acha tuone sura zenye mivuto na shepu zinazoeleweka wewe utake usitake habari ndio hiyoooooooo!Utajaza mwenyewe more pic nuru tunakuaminiaaaaaa.

    ReplyDelete