Wednesday, May 5, 2010

COUPLES EDITION STARTIN WITH DEVOTA AND HER MAN!


NITA WITH HUBBY KINJE...,
SARAH WITH HUBBY RAQEY...,



MR AND MRS KAMEJA....,



MR AND MRS BRENNICK...,




26 comments:

  1. when is ur turn darling lol !!great caples !!

    ReplyDelete
  2. Lovely mwili mmojazzzz wanavutia sana. uuuuh I wish

    ReplyDelete
  3. Nawakubali wote wako juuuuu na wamependeza sana!wenye wivu kata kamba ujinyonge.

    ReplyDelete
  4. Nuru nimependa sana ulivyo wapangilia hawa warembo na wapenzi wao,Hujakosea wote wako juuuu vibaya mno!na wale wasiotaka mtataka tu!wivu ni mbaya bora mtu kukubali matukio kama hivi.Sina mengi lakini kwa ujumla wote nimewapenda mungu awabariki wazidi kua juuuuuu.

    ReplyDelete
  5. Lovely couples!

    ReplyDelete
  6. Lovely couples!

    ReplyDelete
  7. hakuna jipya sura hizohizo kila siku badilika weka mambo mapya acha kufagilia kiivyo. tunawajua na tumeishawaona kwenye blog yako zaidi ya mara 50 tumechoka sasa lete mpya

    ReplyDelete
  8. NA UTAENDELEA KUWAONA ZAIDI YA MARA MIA MOJA...,NA KAMA UMECHOKA MAANA KILA MTU AJIONGELEE MWENYEWE SIO TUMECHOKA NI WEWE NDO UMECHOKA SO I SUGGEST YOU JUST DEAL WITH IT.,

    ReplyDelete
  9. Huyu mbwa anasema kachoka atachoka sana tu!maana hawa ndo wanamvuto na hujatumwa kuingia humu chukua time wewe.Wivu tu umewazidi watu mtakoma sasa!Nuru weka mambo achana na wanga hao.

    ReplyDelete
  10. Koma wewe mchawi uliyesema umechoka sura zile zile ulitaka awekwe baba yako hapa?chukua time mwanga wewe kwa nini hampendi kukubali watu wakali wanamivuto woteeeeeeeeeeeee!Utajibeba habari ndo hiyoooooooooooooo taka usitake na humu usirudi tena.

    ReplyDelete
  11. Safi sana mivuto kama kawa wametoka bomba jamani hongera zenu kwa ujumla.wewe usietaka utataka mpaka mbinguni kipi unataka sasa?Wabongo wivu mtaacha lini?au kwa sababu nyie hamna wanaowapa mapenzi kama wenzenu hao?mtajuta kuzaliwa Me like Nuru sana tu...

    ReplyDelete
  12. mrs kameja looks high

    ReplyDelete
  13. hehehehe eti tumechoka.
    umechoka wewe usiye na sura ukaileta tuione. Nuru rusha hewani warushe tena warushe.

    ReplyDelete
  14. SHUKRAN WADAU MAANA WATU WENGINE HUINGIA HUMU KUCHAFUA TU MAZINGIRA NA ULOSEMA MRS KAMEJA LOOKS HIGH YA SHE DOES KWASABABU YA MAPENZI YANOTOKA KUTOKA KWA MUMEWE ULIKUWA HUJUI THAT LOVES MAKES PPL HIGH ON ANOTHA LEVEL BABYYYYY...,PAMOJAH

    ReplyDelete
  15. Utachoka wewe wenzio wako hoi hawajiwezi kwa wivu ndo maana ni ngumu kukubali watu wazuri na sura zao za mivuto sio vinyago wachafu kazi kuponda ukweli uko hapa na mwenye macho anaona!sasa wewe unamajungu tafuta na wewe wako au kama unajiamini ni mzuri leta picha yako hapa umevaa vitenge tukuone.hehehe nicheke mie kwa sababu wivu mbaya jamani tunashukuru mungu kua hawa ni wazuri wote na umewachoka wangekua wabaya je ungesema nini?nipishe mie Nuru nimepita kutoa comment ya maana sio mijitu na roho za korosho mtakufa kwa hasira.Poleni sana

    ReplyDelete
  16. Mimi nashindwa kuelewa wewe unayesema umechoka kinachokuleta humu ni kitu gani kama sio unawakubali watu wanaowekwa humu?kama ulivyoambiwa hapo juu koma na humu usirudi tena nuksi wewe!

    ReplyDelete
  17. wewe nuru unakuwa defensive bila sababu, i did not say that there's anything wrong with looking high. Been trying to get that look for a while now, no luck...yet

    ReplyDelete
  18. Gorgeous couples. God bless
    Mdau Finland

    ReplyDelete
  19. Wewe unaesema umechoka pole yako maana ndo hivyo tena mtu anaweka kitu anapenda kwenye blog yake na kama umechoka fungua yako uweke hivyo vipya tuvione acha chuki we dada tumeshakujua.

    ReplyDelete
  20. Wasichana wote hapo ni warembo sana tu na ndo maana unawaona wanawekwa mara kwa mara, dada usiwe na donge utakosa hewa bure kwa hasira!Kumbuka kua watu hawa wako juuu ndo maana wanakubalika, pole wewe mshamba sijui umetupwa dunia ya ngapi wewe?Nuru hii ni mivuto kwa ujumla watu na wapenzi wao watake wasitake watajijuuuuuuuuuuu.

    ReplyDelete
  21. wow wanapendeza i soo luv devota wa sweeden shez so cool..ila wote wamependeza sana

    ReplyDelete
  22. Me to i like devota wa sweden she is so cool and sexy!nilimuonaga ones at Mövenpick alikua anacheza na Mange. Hongera kwa kumpata mwenzio dear mnapendezea sana,stay beautiful girl

    ReplyDelete
  23. Wazuri ile mbaya hawa wadada.. Nuru we endelea tu kutupa burudani ahhh

    ReplyDelete
  24. NURU WAKO AKO WAPI???????

    ReplyDelete