AAh Amina, Mungu amrehemu. Nilisoma naye Kisutu girls sec school, japo alikuwa nyuma yangu lakini alikuwa binti mwenye nidhamu, mchapakazi, na haogopi kusimamia ukweli. Kwenye ukarimu sasa!! Pamela Bomani unamjua zaidi besti wako.
Jide watu naona walipendeza sana n what a suprise wow...we need more women like Amina na tuombe mungu wajitokeze...,ahsanteni wadau and rest in peace Amina
She was a charismatic lady.
ReplyDeletealikuwa jasiri,mtetezi wa haki,mchapakazi...All in all she was extraordinary Woman...atakumbukwa daima.
ReplyDeleteKwa kweli nilimpenda sana nilitamani niendelee kumuona Rest in peace Amina.
ReplyDeleteAAh Amina, Mungu amrehemu.
ReplyDeleteNilisoma naye Kisutu girls sec school, japo alikuwa nyuma yangu lakini alikuwa binti mwenye nidhamu, mchapakazi, na haogopi kusimamia ukweli. Kwenye ukarimu sasa!!
Pamela Bomani unamjua zaidi besti wako.
Disminder.
hey lulu hiyo ilikuwa siku ya harusi yangu. Rip Amina
ReplyDeleteCharming Lady, kama sikosei hii siku ilikuwa ni siku ya harusi ya Jide
ReplyDeleteR.I.P Amina
Jide watu naona walipendeza sana n what a suprise wow...we need more women like Amina na tuombe mungu wajitokeze...,ahsanteni wadau and rest in peace Amina
ReplyDelete