Tuesday, March 2, 2010

NILIWAHI KUMUONA MARA MOJA NA SIKUWA NAMJUA KIUNDANI LAKINI NAFIKIRI KATIKA WANAWAKE WALOPENDWA SANA TANZANIA HUYU NI MMOJA WAO..,Rest in Peace Amina


7 comments:

  1. alikuwa jasiri,mtetezi wa haki,mchapakazi...All in all she was extraordinary Woman...atakumbukwa daima.

    ReplyDelete
  2. Kwa kweli nilimpenda sana nilitamani niendelee kumuona Rest in peace Amina.

    ReplyDelete
  3. AAh Amina, Mungu amrehemu.
    Nilisoma naye Kisutu girls sec school, japo alikuwa nyuma yangu lakini alikuwa binti mwenye nidhamu, mchapakazi, na haogopi kusimamia ukweli. Kwenye ukarimu sasa!!
    Pamela Bomani unamjua zaidi besti wako.


    Disminder.

    ReplyDelete
  4. hey lulu hiyo ilikuwa siku ya harusi yangu. Rip Amina

    ReplyDelete
  5. Charming Lady, kama sikosei hii siku ilikuwa ni siku ya harusi ya Jide

    R.I.P Amina

    ReplyDelete
  6. Jide watu naona walipendeza sana n what a suprise wow...we need more women like Amina na tuombe mungu wajitokeze...,ahsanteni wadau and rest in peace Amina

    ReplyDelete