Tuesday, February 16, 2010

TODAY I WANNA TALK ABOUT SISTERHOOD,SISTERHOOD IS ABOUT SUPPORTING,LOVING AND BEING THERE FOR YOUR FELLOW SISTER.I love you SYLVIA AND MISS U MUCH.


ZEZE UNAONA ILE CKU NILITINGA SEA BLUE YANGU LAKIN NDO NANILIII...,

THE LIGHT WITH MA GIRL SYLVIA SHALLY...,

MWANAMKE JICHO NA SYLVIA ANALOOO.,AT THAI VILLAGE WITH MACHOZI BAND..,




12 comments:

  1. Sylivia was supposed 2 be MISS TZ 2009!

    ReplyDelete
  2. Nuru!! Hiyo rangi ya nguo na hizo mixx? KWELI MWANAMKE FASHION.

    ULIBAMBA BABY



    disminder

    ReplyDelete
  3. ahsante disminder n am sure god has plans for her coz shes doing good even though alichukua nafasi ya pili...,

    ReplyDelete
  4. Nuru dia kama itawezekana tafadhali topic zako zingine ziwe za lugha yetu. Samahani kama nakuingilia kwenye blog yako.

    mg

    ReplyDelete
  5. mg nakuelewa na wala hamna shida ni idea ulikuwa nayo na umeshare wala usijiskie vibaya..,kuna topic ambazo ntakuwa naandika tu kiswahili lakini topic nyengine napenda wanawake wote duniani waweze kuchangia mada kama sisterhood na selfconfidence maana ni issues ambazo all women goes through

    ReplyDelete
  6. Yes Indeed! kwani kuna wakati mwengine unachapia sana dear...mno yaani inasomeka kama kiswanglish!Najua Kizungu sio lugha yetu lakini duh! Huwa akieleweki kabisa!
    Mie ni mpenzi sana wa hii blog so please usinitolee macho tu sister!
    Anitha

    ReplyDelete
  7. Mh!!!uko ulimwengu gani baby!!
    Siku hizi kuna street languages!!
    na huku kuna wakati zinapendeza. (kwa mtazamo wangu)
    hata akichapia si mnaelewa? naye binadamu huyo, na makosa tumeumbiwa sisi.


    disminder

    ReplyDelete
  8. kwa kifupi kingereza chako cha kanumba kabisaaaa... unajitahidi lakini punguza kusifia watu, its boring ..

    ReplyDelete
  9. Ohoo atlist leo umejieleza kumbe ulikuwa ushajiandaa kabisaa then ukapotea njia...wink ulipendeza ulikuwa na mpango wakuja mfunika mwali wetu nini?? lol

    ReplyDelete
  10. shamim hahahha hapana yaa yaani nilikuwa nishajiandaaa mamii basi tu..,

    ReplyDelete
  11. WAKAANGA SUMU HAOOOO. WAMESHAHAMIA PANDE HII.

    BINADAMU KWELI MZITO


    disminder.

    ReplyDelete