KUPANDA BAJJAJ??
KUPANDA DALADALA WAKATI NDO USAFIRI HALISI WA KILA MTANZANIA AMABAYE HANA GARI...,
KUVAA MTUMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.....,KITU GANI DUNIA YA LEO HUPATI MTUMBANI NA MASUPASTAA WA HOLLYWOOD WANAVAA MITUMBA..,habari ndo hiyoo
AU KUTENGENEZWA MAKUCHA BARABARANI WAKATI MI NI MSICHANA MREMBO NA NNAJULIKANA KUNA SALOON?JE HUYU KIJANA ANGENIIBIA BAADA YA KUTAFUTA LISHE TUNGEMCHUKULIAJE? My advice TO YOU is TO LIVE YOUR LIFE..,
Happy for you Nuru! Always remember when things go wrong don't go with them. When people try to put you down,don't ever go down with them.Keep your head up, and stay strong.
ReplyDeleteSina hata cha kusema zaidi ya kusema Nuru wewe ni mtu wa kujichanganya sio jambo la ajabu kumpa riziki anaetengeneza kucha barabarani huku duniani tunaishi kwa kugawana kile kidogo tunachopata sio wote tunaweza kwenda saloon so inasaidia tunatengeneza mitaani.Nuru ur my truly star sijui kama unaelewa kila mahali kila mtu nikikutana nae namwambia unamfahamu Nuru yule dada nampenda sana kwani anajichanganya na ana roho nzuri coz nimekuona muda mchache tu ila nimepata mengi toka kwako.ur my no 1 star i love.keep it up mama mafanikio yako yanatokana na kujituma kwako upendo na ucheshi.Gud luck sitachoka kukuambia ukweli na ukikosea pia ntakuambia luv u sanaaaaaaa.be blessed alwayz
ReplyDeleteTena wangejua Mungu anamuongezea yule mwenye moyo wa kusaidia au kugawana kile kidogo alichonacho na wenzake!
ReplyDeleteFOR SURE BABY!! KILA MTU AISHI MAISHA YAKE!! AFTER ALL THEY GIVU YOU NOTHING; SO?
TK ALISEMA UNAWAFUTIA BEGA TU!!
disminder.
you got the V-SHAPE BABY kwa paleeeeeeeee hahahahahah
ReplyDeletewalidhani ni kina HALLE BERRY PEKE YAO? we can keep our figure and look more beauty!!!!
YOU'RE ROCKING SIS
disminder
umenifurahisha sanaaaaaaaaa
ReplyDeletegood
Hahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaa wape wape eee vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao.... The light nakuamini:) Uku juu kama Mapera mabichi.mwaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteSAB:THANK YOU SO MUCH KWA MANENO YAKO NASHKURU SANA..,
ReplyDeleteNIKO JUU KAMA MAPERAAAA AISEE SANKS
DISMINDER HAHAAHAH WE UKO GADO NAKUAMINIA NA ESTER ULAYA KARIBU NOT FORGETTIN SISTA F THANKS FOR THE ADVISE..,PAMOJAH
watu wanaopanda daladala sio wanapenda ni hali ngumu nao pia wangependa kukaa kwenye gari zao na kiyoyozi... sasa kama huna ndio hivyo tena bajaji nini bora ufike tuu...
ReplyDeleteconfidence my ass...
confidence is about giving a shit about what ppl think about you and do you in life so kama wewe u didnt get that well honey my ass it is..,
ReplyDeleteoffcoz kila mtu angependa kuwa na hali nzuri kimaisha but no money can buy u confidence in the world.,
what an old-fashioned bikini, "grandma style"! :-(
ReplyDeleteAND I STILL ROCK IT HAHAAHAHAHHH...,SOME PPL BANAAAAA
ReplyDeleteSASA UKISIKIA WATU WENYE VIHEREHERE NI HAWA WAKINA MY ASS""" OH GRAND MA STYLE..
ReplyDeleteMKUNDU WAKO WEWE KAA MBALI NA HII BLOG KAZI KUKAA NA KUCHAFUA BLOG ZA WATU..KHAAAA KALALE USIKU UMEINGIA KWAKO