HII NI KWA ANONYS NAFKIRI MTU UKIWA UNATAKA KUJUA KITU KWA NIA NZURI HUWA HUULIZI KIJINGA..,I DONT HAVE TO NOR DO I OWE ANYBODY AN EXPLANATION...,HII CKU ILIKUWA VERY SPECIAL TO US...,
hakika shuguli ilinoga utadhani prince alikuwa anaoa lol!! kanisa lina mvuto wa ajabu hata kama hupendi kwenda church utaenda tuu hongereni kwa arusi bomba manka wa canada
Mamie achana na huyo anony asikuharibie furaha yako bure, maana wengine huwa wanakurupuka tu, hata hawajui namna ya kuuliza swali, sasa kimemchesha nini kama sio uchokozi tu humu ndani
Hiyo Chocolate mbona natamani kuimung'unya, maana yaonekana ni tamu sana, hongereni kwa harusi mamie
ReplyDeleteweeeeeeeeeeee ilikuwa tamu kishenzzzzzzz tuliila we acha tu...,ahsante
ReplyDeleteArusi nzuri sanaaaaaaa
ReplyDeleteAHSANTEEEEEEEEEEEEE....,
ReplyDeleteChurch?? I thought that you are all muslims!
ReplyDeleteYou guyz are not muslims?? How come chrch?? au ndiyo wale muslim mchana ....but nguruwe usiku:( hahahahahahahaha
ReplyDeleteI like ur wifi's wedding dress!amependeza........
ReplyDeleteKIKI AHSANTE KWELI HER DRESS WAS SO BEAUTIFUL...,
ReplyDeleteHII NI KWA ANONYS NAFKIRI MTU UKIWA UNATAKA KUJUA KITU KWA NIA NZURI HUWA HUULIZI KIJINGA..,I DONT HAVE TO NOR DO I OWE ANYBODY AN EXPLANATION...,HII CKU ILIKUWA VERY SPECIAL TO US...,
ReplyDeletehakika shuguli ilinoga utadhani prince alikuwa anaoa lol!! kanisa lina mvuto wa ajabu hata kama hupendi kwenda church utaenda tuu hongereni kwa arusi bomba
ReplyDeletemanka wa canada
Mamie achana na huyo anony asikuharibie furaha yako bure, maana wengine huwa wanakurupuka tu, hata hawajui namna ya kuuliza swali, sasa kimemchesha nini kama sio uchokozi tu humu ndani
ReplyDeleteenjoy with ur wifi kwa raha zenu
manka wa canada na ester shukran sanaaaa
ReplyDeleteKwani dini nini?wewe ndio wale wanao vunja huchumba wawatu kisa humbea ku.. wewe alafu jibu huone cheche za bmkundu sasaivi
ReplyDeleteHahahhahhaha naona kaka yetu kaolewa wala si kaoa...juu angeoa angempeleka dem msikitini lol:)
ReplyDeleteANON WA JUU UTABAKI KUONGEA MAMBO HUYAJUI KILA KUKICHA KISA KIHEREHERE TUU LOLSSSSSSSSS..,
ReplyDelete