Nimekupenda u luk like princess waaaau jamani mi niko kwenye mazoezi na diet ili nipungue ila nikifika ulipo lazima watu wanipeleke hospitali ha ha ah napenda sana umbo lako Nuru jamani ivi unafanyaje nipe siri ya mafanikio ya kuonekana mrembo ivyo
SHASHALEYLA,DISMINDER,ESTER ULAYA N THE ANONYS THANK U SO MUCH FOR UR LOVELY WORDS...,ESTER SKETI NILINUNUA MANGO NA TOP NILINUNUA ZARA LAKINI HIZI PAMBA UNAPATA BONGO BILA SHIDA MAANA MAMBO NIMEYAONA MWENYEWE BONGO.. SAB FANYA MAZOEZI LAKINI MAMA KULA VIZURI NA KUFANYA MAZOEZI USIFANYE DIET HUWA INAFANYA KAZI KWA MUDA BUT THEN U GAIN BACK THE WEIGHT..,JUST TRY TO EAT RITE NA MIDA INAYOTAKIWA NA MAZOEZI HUWA INATOSHA ILA USIJINYIME.
KEEP REPRESENTING HUN, U LOOK GORGEOUS AS USUAL. MUCH LUV.
ReplyDeleteTHANKS YAANI SASA HIVI NIMETOKA ON UR BLOG...,
ReplyDeleteUmependeza kweli Nuru au niseme unaendelea kupendeza kila siku inappanza na kwisha.
ReplyDeleteBABY NOW YOU'RE KILLING!!
ReplyDeleteI TOLD YOU! ALWAYS LOOKS FAB!!
disminder.
Nimekupenda u luk like princess waaaau jamani mi niko kwenye mazoezi na diet ili nipungue ila nikifika ulipo lazima watu wanipeleke hospitali ha ha ah napenda sana umbo lako Nuru jamani ivi unafanyaje nipe siri ya mafanikio ya kuonekana mrembo ivyo
ReplyDeletenuru jaman unanunuaga wapi top zako.?napenda sana ue dress code.mi huwa sivai sleeve less so huwa napenda sana outfit zako
ReplyDeleteDuh Nuru hizo pamba niazime nitoke nazo ofisini, ni kama unaenda ofini, umependeza to be honest
ReplyDeleteNuru ma dia i love way unapangilia nguo duh unanikuna keeep it up cute.Sashaleyla
ReplyDeleteSHASHALEYLA,DISMINDER,ESTER ULAYA N THE ANONYS THANK U SO MUCH FOR UR LOVELY WORDS...,ESTER SKETI NILINUNUA MANGO NA TOP NILINUNUA ZARA LAKINI HIZI PAMBA UNAPATA BONGO BILA SHIDA MAANA MAMBO NIMEYAONA MWENYEWE BONGO..
ReplyDeleteSAB FANYA MAZOEZI LAKINI MAMA KULA VIZURI NA KUFANYA MAZOEZI USIFANYE DIET HUWA INAFANYA KAZI KWA MUDA BUT THEN U GAIN BACK THE WEIGHT..,JUST TRY TO EAT RITE NA MIDA INAYOTAKIWA NA MAZOEZI HUWA INATOSHA ILA USIJINYIME.
haya shosti njoo kwangu nikupe zoezi la kupanda ngazi!!
ReplyDeletedisminder.
i love the leopards print leggings! you look great
ReplyDeletethanks anony...,
ReplyDeleteumependeza sanaa.. the light:)
ReplyDeleteSo clean, so fresh, umependaza mwaego Kama kawaida yako hubahatishi.
ReplyDeleteahsante edna nashkuru...,
ReplyDeleteNuru weka basi pica za diva's bbq na sisi pia tu faidi au siyo
ReplyDelete