HAPPY ONE YEAR ANNIVERSARY TO NURU THE LIGHT.I DID IT YALL AND I WANNA THANK YOU.
STARTIN THIS JOURNEY I DIDNT AND COULDNT IMAGINE WHAT AN IMPACT I WOULD HAVE ON MANY PEOPLE OUTTHERE..AHSANTENI SANA WADAU NAWASHKURU NA KARIBUNI TENA NA TENA NYUMBANI KWANGU..,
AWWW HAPPY BIRTHDAY NURU. FOR SURE YOU ARE A LIGHT THAT SHINES FOR REAL TO THE WORLD OUT THERE,KEEP IT UP HON & GOD BLESS YOU. I DO WISH U MANY MORE YEARS OF SUCCESS. MUCH MUCH LOVE JESTINA. XXXX
Hi dear, I wish u a happy birthday and keep it up, actually your blog, hua inanisaidia sana kwenye fashion, na mie hua sio mzuri sana kwenye fashion, thanks a lot.
Happy birthday our blog.Naipenda na nitazidi kuipenda Nuru the light blog mana nami karibu ntakuwa mtu wa fashion ati ha ha ha niko kwenye maandalizi na mi niwe fashionista au sio Disminder embu tufanye jitihada izo.Nuru my advice ni kuwa kila kitu ni malengo na ujasiri na pia kumuomba mwenyenzi MUngu akupe nguvu na uweza utafanikiwa na kufika malengo.Lv u sana. Na mazuri kuyafanyia kazi mabaya achana nayo mana sio kila mtu anapenda maendeleo ya mtu.alwayz blessed mummy.Nuru the Light blog Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
nuru mimi nakutakia kilala kheri katika maisha yako na hakuna linaloshindikana kwa mungu kila unachokipanga mshirikishe utapata majibu.na ninaomba uiweke hii picha ya kwanza katika profile lako ndio picha ambayo umetokea vizuri uso kuliko zote na inavutia kuliko hii ya kijani ina kutoa uzuri ulio nao wakati wewe ni mzuri.mdau miss kilimanjaro,finland.
Nuru Mdada. Niseme nini sasa? Nakutakia kila lililo jema Dear. Umekuwa Mwanga bin Nuru na naamini wengi wapendao hapa wanajifunza kitu. Kuwa mfunzi si faraja tu, bali ni baraka, na naamini UNABARIKIWA KWA KUWA MFUNZI KWA NAMNA ULIVYO Nakuombea kila lililo jema katika kuanza mwaka wa pili. Natambua HISIA ulizonazo kwa kufanikisha mwaka wa kwanza. Nami nimeukamilisha miezi michache iliyopita (japo waweza kutokuwa na mafanikio kama wako) Nakutakia mafanikio na kila la kheri Dada Blessings
AWWW HAPPY BIRTHDAY NURU. FOR SURE YOU ARE A LIGHT THAT SHINES FOR REAL TO THE WORLD OUT THERE,KEEP IT UP HON & GOD BLESS YOU. I DO WISH U MANY MORE YEARS OF SUCCESS. MUCH MUCH LOVE JESTINA. XXXX
ReplyDeleteHAPPY BIRTHDAY TO THE BLOG!!! Much love sis!!! Always supportin ya! xx
ReplyDeleteAHSANTENI SANA FROM THE BOTTOM OF MY HEART..,
ReplyDeleteHi dear, I wish u a happy birthday and keep it up, actually your blog, hua inanisaidia sana kwenye fashion, na mie hua sio mzuri sana kwenye fashion, thanks a lot.
ReplyDeleteHappy birthday our blog.Naipenda na nitazidi kuipenda Nuru the light blog mana nami karibu ntakuwa mtu wa fashion ati ha ha ha niko kwenye maandalizi na mi niwe fashionista au sio Disminder embu tufanye jitihada izo.Nuru my advice ni kuwa kila kitu ni malengo na ujasiri na pia kumuomba mwenyenzi MUngu akupe nguvu na uweza utafanikiwa na kufika malengo.Lv u sana. Na mazuri kuyafanyia kazi mabaya achana nayo mana sio kila mtu anapenda maendeleo ya mtu.alwayz blessed mummy.Nuru the Light blog Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
ReplyDeleteWish u all the best mamii Fashionista
ReplyDeleteHappy Bday 2 the Blog
xoxo
Yo smart ila the shoes are so oveeeer.fashionjukii can guide u on this.
ReplyDeletemdau bongo.
nuru mimi nakutakia kilala kheri katika maisha yako na hakuna linaloshindikana kwa mungu kila unachokipanga mshirikishe utapata majibu.na ninaomba uiweke hii picha ya kwanza katika profile lako ndio picha ambayo umetokea vizuri uso kuliko zote na inavutia kuliko hii ya kijani ina kutoa uzuri ulio nao wakati wewe ni mzuri.mdau miss kilimanjaro,finland.
ReplyDeleteTHANKS ALOT GUYSSSSSSSSSSSS....,I REALLY APPRECIATE IT
ReplyDeleteAll the bests with lotz of luvz. Keep it up!! It's just the bening of somethin BIG!!
ReplyDeleteJAh Bless!!!
/Juce
Hongera sana blog yetu kwa kutimiza mwaka mmoja!!! All the Best,Tupo pamoja sana Nuru!Kazi njema.
ReplyDeleteHongera blog ya NURU the light! Na tunasubiri mambo motomoto zaidi.
ReplyDeleteTACK BRORSAN I LOVE UUUUU...NA WENGINEO WOTE AHSANTENI SANAAAA.,
ReplyDeleteHappy Birthday Nuru the Light! Love your work. x
ReplyDeleteBIG UP NURU YOU ARE THE LIGHT WISHING YOU MANY MANY YEARS OF SUCCESS BIG LOVE.MDAU FINLAND
ReplyDeleteCONGRATS MAAA KEEP ON ROCKING!!
ReplyDeleteHappy birthday the mwanga!lol si mchezo umetoka mwao shost,mwa!mwaaa!
ReplyDeleteNuru Mdada.
ReplyDeleteNiseme nini sasa?
Nakutakia kila lililo jema Dear.
Umekuwa Mwanga bin Nuru na naamini wengi wapendao hapa wanajifunza kitu.
Kuwa mfunzi si faraja tu, bali ni baraka, na naamini UNABARIKIWA KWA KUWA MFUNZI KWA NAMNA ULIVYO
Nakuombea kila lililo jema katika kuanza mwaka wa pili. Natambua HISIA ulizonazo kwa kufanikisha mwaka wa kwanza. Nami nimeukamilisha miezi michache iliyopita (japo waweza kutokuwa na mafanikio kama wako)
Nakutakia mafanikio na kila la kheri Dada
Blessings