Tuesday, January 5, 2010

NIMEIBIWA KIBONGO STYLE YAANI SINA HAMU...SIMU YANGU WAS NEW NA IT WAS A CHRISTMAS GIFT..,what a girl to do

7 comments:

  1. Pole Nuru ukija Bongo inabidi upate soma mana vibaka ata wewe wanaweza kukuibaloh pole mpz huku tinatembeaga tumekumbatia pochi zetu esp ukienda kariakoo loh mi nimeshawahi kuchaniwa handbag yangu sina hamu.Pole mumyyyy

    ReplyDelete
  2. Pole sana dada Nuru....Wezi ni watu wabaya sana,lakini usikate tamaa ...... bora uzima tu
    Mungu akujalie kwa shughuli zako za kila siku.....
    Amen. Endelea na mambo yako na usifikirie sana.

    ReplyDelete
  3. daaaaaaah...pole sister!!!! yaani mmh..it shud mean so much 2 u n it shud b really annoyin yaani mmh

    ReplyDelete
  4. wellcome to bongoland my sister ikijisahau watakuibia mpaka chipi ok
    chefen

    ReplyDelete
  5. Inshallah Mwenyezimungu atakupa Nyengine nzuri zaidi. Mr MZ

    ReplyDelete
  6. ahsanteni sna wapenziiiiii nashkuru..

    ReplyDelete