Pole Nuru ukija Bongo inabidi upate soma mana vibaka ata wewe wanaweza kukuibaloh pole mpz huku tinatembeaga tumekumbatia pochi zetu esp ukienda kariakoo loh mi nimeshawahi kuchaniwa handbag yangu sina hamu.Pole mumyyyy
Pole sana dada Nuru....Wezi ni watu wabaya sana,lakini usikate tamaa ...... bora uzima tu Mungu akujalie kwa shughuli zako za kila siku..... Amen. Endelea na mambo yako na usifikirie sana.
Pole Nuru ukija Bongo inabidi upate soma mana vibaka ata wewe wanaweza kukuibaloh pole mpz huku tinatembeaga tumekumbatia pochi zetu esp ukienda kariakoo loh mi nimeshawahi kuchaniwa handbag yangu sina hamu.Pole mumyyyy
ReplyDeletePole sana dada Nuru....Wezi ni watu wabaya sana,lakini usikate tamaa ...... bora uzima tu
ReplyDeleteMungu akujalie kwa shughuli zako za kila siku.....
Amen. Endelea na mambo yako na usifikirie sana.
daaaaaaah...pole sister!!!! yaani mmh..it shud mean so much 2 u n it shud b really annoyin yaani mmh
ReplyDeleteMASKIN POLE LUV!!
ReplyDeletewellcome to bongoland my sister ikijisahau watakuibia mpaka chipi ok
ReplyDeletechefen
Inshallah Mwenyezimungu atakupa Nyengine nzuri zaidi. Mr MZ
ReplyDeleteahsanteni sna wapenziiiiii nashkuru..
ReplyDelete