Thursday, November 26, 2009

TRENDALERT:BIG CHAINS

CHENI KUBWA INAFANYA OUTFIT YAKO IPENDEZE ZAIDI NA SISI TUNA VITU VYETU VIZURI VYAKIAFRICA....














3 comments:

  1. haya TZ TOTOZ Mshindwe wenyewe hayo ndiyo mambo yamejaa kwetu tena za asili hasaaaaaaaaa

    disminder

    ReplyDelete
  2. umeongea point nzuri sana disminder...,vitu tunavyo na ni vizuri sanaaa

    ReplyDelete
  3. Tujivunie vya kwetu tena imara na bora zaidi.
    Mama yangu ana bangili zile za mlinga na zile za ndovu!! (Nuru usimwambie mtu, wakimjuaaa watamkata mikono)
    hahahahaha
    mpaka leo utafikiri mpyaa.

    Ukiangali yale mashanga sasa!!!
    zile pekosi (bugaluu) na teremka tuzoze (raizoni)
    weh acha tu syle zirudi me naenda kufungua makabati ya BI-MKONGWE naingia katika fashion.

    disminder

    ReplyDelete