Tujivunie vya kwetu tena imara na bora zaidi. Mama yangu ana bangili zile za mlinga na zile za ndovu!! (Nuru usimwambie mtu, wakimjuaaa watamkata mikono) hahahahaha mpaka leo utafikiri mpyaa.
Ukiangali yale mashanga sasa!!! zile pekosi (bugaluu) na teremka tuzoze (raizoni) weh acha tu syle zirudi me naenda kufungua makabati ya BI-MKONGWE naingia katika fashion.
haya TZ TOTOZ Mshindwe wenyewe hayo ndiyo mambo yamejaa kwetu tena za asili hasaaaaaaaaa
ReplyDeletedisminder
umeongea point nzuri sana disminder...,vitu tunavyo na ni vizuri sanaaa
ReplyDeleteTujivunie vya kwetu tena imara na bora zaidi.
ReplyDeleteMama yangu ana bangili zile za mlinga na zile za ndovu!! (Nuru usimwambie mtu, wakimjuaaa watamkata mikono)
hahahahaha
mpaka leo utafikiri mpyaa.
Ukiangali yale mashanga sasa!!!
zile pekosi (bugaluu) na teremka tuzoze (raizoni)
weh acha tu syle zirudi me naenda kufungua makabati ya BI-MKONGWE naingia katika fashion.
disminder