hivi Nuru jamani umesahau tuko kwenye mfungo...yaani IYO CHIPS ZEGE...mate yananitoka mwenzio utanifuturisha ivyo!!!!Na hv niliipimzisha mwezi mzima...zitanikoma next week hapo upate tomato chachandu na kachumbari ya kabichi ipikwe kidooogo
OMG,NURU WEWE MCHOKOZI!MIMI CHIPS NO THANK YOU,MIMI ZANGU NI HIZO SAHANI ZA NYAMA NA SAMAKI,HAPO UTANIPATA NA BAHATI MBAYA LEO NIMETOKA KUNG'OA JINO,BILA HIVYO KWA HASIRA NDIO INGEKUWA DINNER YANGU LEO...LOL,VIPI NURU SWAUMU IMEPANDA?
Oh! vad hungrig jag blev! Det ser sååååå gott ut.MMMhhh
ReplyDeletevisst blir man det yasinta...,tänk o få tag på denna måltid...,
ReplyDeletehivi Nuru jamani umesahau tuko kwenye mfungo...yaani IYO CHIPS ZEGE...mate yananitoka mwenzio utanifuturisha ivyo!!!!Na hv niliipimzisha mwezi mzima...zitanikoma next week hapo upate tomato chachandu na kachumbari ya kabichi ipikwe kidooogo
ReplyDeleteYYANI WE SHAMIM ACHA TUUUUUUUU MUNGU ATANISAMEHE NILIVYOLETEWA HII PICHA DENDA LININITOKA....,CHACHANDU NA KACHUMBARI NDO YENYEWEEEEEEEEE
ReplyDeleteNuru mambo gani hayo jamani kututamansha sasa..?
ReplyDeletehaaf we si umefunga..?lol
mic u..keep up with good patterns of ur blogs..
wallace
THANKS WALLACE....,NDO NATAMANI NIPATE HAYA MAPOCHOPOCHO KUFTURUUUUUUU
ReplyDeleteOMG,NURU WEWE MCHOKOZI!MIMI CHIPS NO THANK YOU,MIMI ZANGU NI HIZO SAHANI ZA NYAMA NA SAMAKI,HAPO UTANIPATA NA BAHATI MBAYA LEO NIMETOKA KUNG'OA JINO,BILA HIVYO KWA HASIRA NDIO INGEKUWA DINNER YANGU LEO...LOL,VIPI NURU SWAUMU IMEPANDA?
ReplyDeletehej nuru, mbona mishkaki sijaona hapo jamani? mmmm nimetamani ilo zege.
ReplyDeleteNuru unatamanisha watu hapa...I think you mean tummy not belly
ReplyDeletePASSION YAAAA INAPANDA MPENZI...N THE OTHAS WELL KUTAMANISHA WATU SI MBAYA SOMETIMES ESPECIALLY IF ITS SOMETHIN LOVELY LIKE FOOD...,
ReplyDelete