Thursday, September 17, 2009

LORD HAVE MERCY ON MY BELLY.......,


10 comments:

  1. Oh! vad hungrig jag blev! Det ser sååååå gott ut.MMMhhh

    ReplyDelete
  2. visst blir man det yasinta...,tänk o få tag på denna måltid...,

    ReplyDelete
  3. hivi Nuru jamani umesahau tuko kwenye mfungo...yaani IYO CHIPS ZEGE...mate yananitoka mwenzio utanifuturisha ivyo!!!!Na hv niliipimzisha mwezi mzima...zitanikoma next week hapo upate tomato chachandu na kachumbari ya kabichi ipikwe kidooogo

    ReplyDelete
  4. YYANI WE SHAMIM ACHA TUUUUUUUU MUNGU ATANISAMEHE NILIVYOLETEWA HII PICHA DENDA LININITOKA....,CHACHANDU NA KACHUMBARI NDO YENYEWEEEEEEEEE

    ReplyDelete
  5. Nuru mambo gani hayo jamani kututamansha sasa..?
    haaf we si umefunga..?lol
    mic u..keep up with good patterns of ur blogs..
    wallace

    ReplyDelete
  6. THANKS WALLACE....,NDO NATAMANI NIPATE HAYA MAPOCHOPOCHO KUFTURUUUUUUU

    ReplyDelete
  7. OMG,NURU WEWE MCHOKOZI!MIMI CHIPS NO THANK YOU,MIMI ZANGU NI HIZO SAHANI ZA NYAMA NA SAMAKI,HAPO UTANIPATA NA BAHATI MBAYA LEO NIMETOKA KUNG'OA JINO,BILA HIVYO KWA HASIRA NDIO INGEKUWA DINNER YANGU LEO...LOL,VIPI NURU SWAUMU IMEPANDA?

    ReplyDelete
  8. hej nuru, mbona mishkaki sijaona hapo jamani? mmmm nimetamani ilo zege.

    ReplyDelete
  9. Nuru unatamanisha watu hapa...I think you mean tummy not belly

    ReplyDelete
  10. PASSION YAAAA INAPANDA MPENZI...N THE OTHAS WELL KUTAMANISHA WATU SI MBAYA SOMETIMES ESPECIALLY IF ITS SOMETHIN LOVELY LIKE FOOD...,

    ReplyDelete